CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Mkuu ziba masikio na ufumbe machoMungu asaidie nchi hizi timu mbili zitolewe ila kelele ma radioni na vijueni zieshe ili watu wapate kufanya kazi, unakuta ofisi nzima wanajadili mpira wateja wako nje wanawasubilia.
Kichaaa Moja wapo ni wewe
Unatakiwa upigwe viboko vingi shingoni kukuasa kuota ujingaujinga.Wadau, jana nimeota kuwa Yanga atashinda nje ndani kwa idadi ya magoli 4-2 huku Mudathiri, Pacome na Aucho wakishinda kwenye magoli hayo 2, mara nyingi huwa naota ndoto za kweli huenda ikawa idadi ya magoli ni tofauti ila Yanga anapita hatua inayofata na huenda Watakutana fainali yeye na mwarabu(kundi moja).
Haya ndy madhara ya kuota ndoto upo chooni ,,Wadau, jana nimeota kuwa Yanga atashinda nje ndani kwa idadi ya magoli 4-2 huku Mudathiri, Pacome na Aucho wakishinda kwenye magoli hayo 2, mara nyingi huwa naota ndoto za kweli huenda ikawa idadi ya magoli ni tofauti ila Yanga anapita hatua inayofata na huenda Watakutana fainali yeye na mwarabu(kundi moja).
Kitu nilichokigundua ni Ukishabikia sanaaaa Simba na Yanga. kichwani lazima zipungue.
KUNA VIJANA WENGI MNO AKILI ZIMEWARUKA KABISA, HAWANA FUTURE WAO NI KUWAZA SIMBA NA YANGA TU.....
MSIPOTEZE MUDA NA UPUUZI WA SIMBA NA YANGA.
HIZO TIMU NI VYOMBO VYA PROPAGANDA VYA SELIKALI KUWAPOTEZA MABOYA.
MY MESSAGE
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
Ahaaaaa kumbe unaota🤣🤣🤣 Amka wewe utajikojoleaWadau, jana nimeota kuwa Yanga atashinda nje ndani kwa idadi ya magoli 4-2 huku Mudathiri, Pacome na Aucho wakishinda kwenye magoli hayo 2, mara nyingi huwa naota ndoto za kweli huenda ikawa idadi ya magoli ni tofauti ila Yanga anapita hatua inayofata na huenda Watakutana fainali yeye na mwarabu(kundi moja).
Yaani mkuu haya mambo ya mpira kwa wasiojielewa ni kama ugonjwa au wendawazimu kuna watu hawajali muda wa kazi au vitu muhimu wenyewe ni kubishania mpira tuMungu asaidie nchi hizi timu mbili zitolewe ila kelele ma radioni na vijueni zieshe ili watu wapate kufanya kazi, unakuta ofisi nzima wanajadili mpira wateja wako nje wanawasubilia.
Mkuu hii kauli yako mwanzoni nilikuwa naipuuza,Ila juzi baada ya kuona jamaa tunafanya nae kazi kapewa task na mkuu wa kitengo aikamilishe akasema sawa,akatoka nje kakutana na mafundi wanarekebisha majengo ya kazi wakaanza kubishana mpira,Kitu nilichokigundua ni Ukishabikia sanaaaa Simba na Yanga. kichwani lazima zipungue.
KUNA VIJANA WENGI MNO AKILI ZIMEWARUKA KABISA, HAWANA FUTURE WAO NI KUWAZA SIMBA NA YANGA TU.....
MSIPOTEZE MUDA NA UPUUZI WA SIMBA NA YANGA.
HIZO TIMU NI VYOMBO VYA PROPAGANDA VYA SELIKALI KUWAPOTEZA MABOYA.
MY MESSAGE
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
Nyinyi ndio hua mnajificha uvunguni baada ya matokeo alafu wachawi sio lazima wabebe matunguli maneno tu yanaweza yakathibitisha kwamba wewe ni mchawiMungu asaidie nchi hizi timu mbili zitolewe ila kelele ma radioni na vijueni zieshe ili watu wapate kufanya kazi, unakuta ofisi nzima wanajadili mpira wateja wako nje wanawasubilia.
Mpira ndio burudani yao unataka wabishanie nini burudani zako za Riverside?Yaani mkuu haya mambo ya mpira kwa wasiojielewa ni kama ugonjwa au wendawazimu kuna watu hawajali muda wa kazi au vitu muhimu wenyewe ni kubishania mpira tu
Mpira ni burudani wewe km hupendi mpira hamia kwenye lede na mstarikatiMkuu hii kauli yako mwanzoni nilikuwa naipuuza,Ila juzi baada ya kuona jamaa tunafanya nae kazi kapewa task na mkuu wa kitengo aikamilishe akasema sawa,akatoka nje kakutana na mafundi wanarekebisha majengo ya kazi wakaanza kubishana mpira,
Wakati huo huo ndiyo tulikuwa tunasubiri kazi yake aikamilishe ili na sisi tuipitie tukamilishe kazi itumwe mahala husika,boss katoka nje kamkuta jamaa anabishana mambo ya mpira simba yanga ahly mamelodi, ni mambo ya kipuuzi sana viongozi kama hawajui kuna watu wanalipwa mishahara ila kazi ni kubishana mpira tu
Rudi kwenye ndoto ukashuhudie wakikabidhiwa kikombe kabisa..