Naomba tushauriane wana jf mana hapa Niko njia panda
akatoe fungu la kumi kwa "wenye kuijua hela"
Ushauri wako ni mzuri sana!Rudisha
Nafikiri hili lilikuwa wazo zuri sanazicheze zoote ushinde million 60
Wale wa forex, crypocurrencies na Qnet, kuna kichwa kipya kimejitumbukiza chenyewe [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Naomba tushauriane wana jf mana hapa Niko njia panda
Hahaha unamshauri azipeleke kwa wapiga dili wa kidigital eti unadownload hela [emoji2] [emoji2] [emoji2] umeona wapi kuna hela ya kizembezembeWale wa forex, crypocurrencies na Qnet, kuna kichwa kipya kimejitumbukiza chenyewe [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Ha ha ha kwani umesahau ule msemo wa Wajinga ndo waliwao?Hahaha unamshauri azipeleke kwa wapiga dili wa kidigital eti unadownload hela [emoji2] [emoji2] [emoji2] umeona wapi kuna hela ya kizembezembe