Third Eye
JF-Expert Member
- Jan 8, 2012
- 373
- 210
Naomba tushauriane wana jf mana hapa Niko njia panda
Njoo nikupeke baa yenye mademu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba tushauriane wana jf mana hapa Niko njia panda
akatoe fungu la kumi kwa "wenye kuijua hela"
Ushauri wako ni mzuri sana!Rudisha
Nafikiri hili lilikuwa wazo zuri sanazicheze zoote ushinde million 60
Wale wa forex, crypocurrencies na Qnet, kuna kichwa kipya kimejitumbukiza chenyewe [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Naomba tushauriane wana jf mana hapa Niko njia panda
Hahaha unamshauri azipeleke kwa wapiga dili wa kidigital eti unadownload hela [emoji2] [emoji2] [emoji2] umeona wapi kuna hela ya kizembezembeWale wa forex, crypocurrencies na Qnet, kuna kichwa kipya kimejitumbukiza chenyewe [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Ha ha ha kwani umesahau ule msemo wa Wajinga ndo waliwao?Hahaha unamshauri azipeleke kwa wapiga dili wa kidigital eti unadownload hela [emoji2] [emoji2] [emoji2] umeona wapi kuna hela ya kizembezembe