Jana nimeshuhudia gari ikifa

Jana nimeshuhudia gari ikifa

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Ilikuwa ni Nissan Civilian number C inayopiga ruti za Mbezi Mlandizi... Jana asubuhi mitaa ya Kibada ndio ilihitimisha safari yake hapa duniani kwa ajali ya moto.. Ilikufa kwa maumivu na upweke mkubwa bila msaada wowote
Wananchi walikuwepo.. Askari waliwepo.. Lakini wote walikuwa wamesimama mbali bila msaada.. Kwao ilikuwa ni ajali ya gari kuungua moto kwangu kilikuwa kifo cha gari

Nimeshakutana na vifo vingi sana.. Nimeshashuhudia watu wengi wakifa.. Wengine nimewasaidia kufa kwa mikono yangu mwenyewe.. Kitu nilichogundua.. Kifo hakizoeleki

Kifo cha gari jana kilikuwa kimojawapo.. Nikawaza namna walivyoanza safari yao pale Mlandizi.. Pengine konda na dereva hawakujua mwenzao anaumwa.. Wakamlazimisha hivyo hivyo
Kuna magari mengine yana roho mbaya sana, yakiumwa kisha yalazimishwe kufanya kazi huamua kujilipua na kufa na abiria.. Lilie la jana ni mbinguni moja kwa moja .. Liliamua kufa peke yake
Tajiri alitarajia kupokea kibunda cha wiki ama cha siku.. Hakupokea
Dereva naye alikuwa na matarajio yake na mipango yake kwa siku ya jana.. Yote iliyeyuka
Hivi konda anaweza kuwa mwaminifu akapeleka pess yote aliyokuwa keshakusanya? Ama atasingizia upotevu wakati wa taharuki?
Kuna abiria nauli yao ilikuwa ya kuungaunga.. Hao walikuwa na siku mbaya
Kuna ambao bado walikuwa hawajarudishiwa chenchi.. Hawa ilikula kkwao
Kuna ambao walikuwa hawajalipa nauli.. Hawa zali liliwaangukia.. Kufa kufaana

Pale ilipofia
Barabara pia iliumia
Kuna mimea iliungua
Kuna wadudu waliungua
Traffic walikosa bakshish na faini
Jiji limekosa mapato
Fundi gereji keshapoteza mteja

List ni ndefu.. Itoshe tu kusema kifo cha lile daladala kimeniuma sana maana kimeleta athari kwa wengi
 
Ila mshana!🤣🤣🤣

Baba yake (Nissan)... kila mtoto anae muozesha, anafariki kwa ajali hiyo....

Cha ajabu watu hawaishi kuchumbia na kuoa watoto wa huyo mzee(nissan)...

Sijui waoaji wala hawaoni kama kuna shida mahala?!
Sijui waoaji wala hawaoni kama kuna shida mahala?!😭😂🙌🏿🙌🏿🏃🏿🏃🏿
photo.JPG
 
Ilikuwa ni Nissan Civilian number C inayopiga ruti za Mbezi Mlandizi... Jana asubuhi mitaa ya Kibada ndio ilihitimisha safari yake hapa duniani kwa ajali ya moto.. Ilikufa kwa maumivu na upweke mkubwa bila msaada wowote
Wananchi walikuwepo.. Askari waliwepo.. Lakini wote walikuwa wamesimama mbali bila msaada.. Kwao ilikuwa ni ajali ya gari kuungua moto kwangu kilikuwa kifo cha gari

Nimeshakutana na vifo vingi sana.. Nimeshashuhudia watu wengi wakifa.. Wengine nimewasaidia kufa kwa mikono yangu mwenyewe.. Kitu nilichogundua.. Kifo hakizoeleki

Kifo cha gari jana kilikuwa kimojawapo.. Nikawaza namna walivyoanza safari yao pale Mlandizi.. Pengine konda na dereva hawakujua mwenzao anaumwa.. Wakamlazimisha hivyo hivyo
Kuna magari mengine yana roho mbaya sana, yakiumwa kisha yalazimishwe kufanya kazi huamua kujilipua na kufa na abiria.. Lilie la jana ni mbinguni moja kwa moja .. Liliamua kufa peke yake
Tajiri alitarajia kupokea kibunda cha wiki ama cha siku.. Hakupokea
Dereva naye alikuwa na matarajio yake na mipango yake kwa siku ya jana.. Yote iliyeyuka
Hivi konda anaweza kuwa mwaminifu akapeleka pess yote aliyokuwa keshakusanya? Ama atasingizia upotevu wakati wa taharuki?
Kuna abiria nauli yao ilikuwa ya kuungaunga.. Hao walikuwa na siku mbaya
Kuna ambao bado walikuwa hawajarudishiwa chenchi.. Hawa ilikula kkwao
Kuna ambao walikuwa hawajalipa nauli.. Hawa zali liliwaangukia.. Kufa kufaana

Pale ilipofia
Barabara pia iliumia
Kuna mimea iliungua
Kuna wadudu waliungua
Traffic walikosa bakshish na faini
Jiji limekosa mapato
Fundi gereji keshapoteza mteja

List ni ndefu.. Itoshe tu kusema kifo cha lile daladala kimeniuma sana maana kimeleta athari kwa wengi
Poleni kwa msiba.Mazishi ni lini?Hata hivyo marehemu naye tunamtafutia dhambi zake.Je,hajawahi kuua wengine?Kifo ni kifo tu ingawa chake kina inshuarensi!
 
Ilikuwa ni Nissan Civilian number C inayopiga ruti za Mbezi Mlandizi... Jana asubuhi mitaa ya Kibada ndio ilihitimisha safari yake hapa duniani kwa ajali ya moto.. Ilikufa kwa maumivu na upweke mkubwa bila msaada wowote
Wananchi walikuwepo.. Askari waliwepo.. Lakini wote walikuwa wamesimama mbali bila msaada.. Kwao ilikuwa ni ajali ya gari kuungua moto kwangu kilikuwa kifo cha gari

Nimeshakutana na vifo vingi sana.. Nimeshashuhudia watu wengi wakifa.. Wengine nimewasaidia kufa kwa mikono yangu mwenyewe.. Kitu nilichogundua.. Kifo hakizoeleki

Kifo cha gari jana kilikuwa kimojawapo.. Nikawaza namna walivyoanza safari yao pale Mlandizi.. Pengine konda na dereva hawakujua mwenzao anaumwa.. Wakamlazimisha hivyo hivyo
Kuna magari mengine yana roho mbaya sana, yakiumwa kisha yalazimishwe kufanya kazi huamua kujilipua na kufa na abiria.. Lilie la jana ni mbinguni moja kwa moja .. Liliamua kufa peke yake
Tajiri alitarajia kupokea kibunda cha wiki ama cha siku.. Hakupokea
Dereva naye alikuwa na matarajio yake na mipango yake kwa siku ya jana.. Yote iliyeyuka
Hivi konda anaweza kuwa mwaminifu akapeleka pess yote aliyokuwa keshakusanya? Ama atasingizia upotevu wakati wa taharuki?
Kuna abiria nauli yao ilikuwa ya kuungaunga.. Hao walikuwa na siku mbaya
Kuna ambao bado walikuwa hawajarudishiwa chenchi.. Hawa ilikula kkwao
Kuna ambao walikuwa hawajalipa nauli.. Hawa zali liliwaangukia.. Kufa kufaana

Pale ilipofia
Barabara pia iliumia
Kuna mimea iliungua
Kuna wadudu waliungua
Traffic walikosa bakshish na faini
Jiji limekosa mapato
Fundi gereji keshapoteza mteja

List ni ndefu.. Itoshe tu kusema kifo cha lile daladala kimeniuma sana maana kimeleta athari kwa wengi
Mkuu watasafirisha ama maziko ni hapo hapo mjini?
 
Ilikuwa ni Nissan Civilian number C inayopiga ruti za Mbezi Mlandizi... Jana asubuhi mitaa ya Kibada ndio ilihitimisha safari yake hapa duniani kwa ajali ya moto.. Ilikufa kwa maumivu na upweke mkubwa bila msaada wowote
Wananchi walikuwepo.. Askari waliwepo.. Lakini wote walikuwa wamesimama mbali bila msaada.. Kwao ilikuwa ni ajali ya gari kuungua moto kwangu kilikuwa kifo cha gari

Nimeshakutana na vifo vingi sana.. Nimeshashuhudia watu wengi wakifa.. Wengine nimewasaidia kufa kwa mikono yangu mwenyewe.. Kitu nilichogundua.. Kifo hakizoeleki

Kifo cha gari jana kilikuwa kimojawapo.. Nikawaza namna walivyoanza safari yao pale Mlandizi.. Pengine konda na dereva hawakujua mwenzao anaumwa.. Wakamlazimisha hivyo hivyo
Kuna magari mengine yana roho mbaya sana, yakiumwa kisha yalazimishwe kufanya kazi huamua kujilipua na kufa na abiria.. Lilie la jana ni mbinguni moja kwa moja .. Liliamua kufa peke yake
Tajiri alitarajia kupokea kibunda cha wiki ama cha siku.. Hakupokea
Dereva naye alikuwa na matarajio yake na mipango yake kwa siku ya jana.. Yote iliyeyuka
Hivi konda anaweza kuwa mwaminifu akapeleka pess yote aliyokuwa keshakusanya? Ama atasingizia upotevu wakati wa taharuki?
Kuna abiria nauli yao ilikuwa ya kuungaunga.. Hao walikuwa na siku mbaya
Kuna ambao bado walikuwa hawajarudishiwa chenchi.. Hawa ilikula kkwao
Kuna ambao walikuwa hawajalipa nauli.. Hawa zali liliwaangukia.. Kufa kufaana

Pale ilipofia
Barabara pia iliumia
Kuna mimea iliungua
Kuna wadudu waliungua
Traffic walikosa bakshish na faini
Jiji limekosa mapato
Fundi gereji keshapoteza mteja

List ni ndefu.. Itoshe tu kusema kifo cha lile daladala kimeniuma sana maana kimeleta athari kwa wengi
Ulisaidiaje watu wengine kufa? Tuanzie hapo chief
 
Back
Top Bottom