Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hii mbona kama ni Isuzu Journey au sijala mchicha na karoti vizuri.Sijui waoaji wala hawaoni kama kuna shida mahala?!๐ญ๐๐๐ฟ๐๐ฟ๐๐ฟ๐๐ฟView attachment 3160797
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii mbona kama ni Isuzu Journey au sijala mchicha na karoti vizuri.Sijui waoaji wala hawaoni kama kuna shida mahala?!๐ญ๐๐๐ฟ๐๐ฟ๐๐ฟ๐๐ฟView attachment 3160797
Ndio maana Ulaya hawaamini kitu kinachoitwa Ajali ya Bahati Mbaya.Yote hayo kasababisha dereva kutoipeleka kupata huduma Kwa wakati.kila hatua ya tatizo kwenye gari lazima ikupe ishara lakini wengi hupuuzia.
Jana asubuhi mitaa ya Kibada ndio ilihitimisha safari yake hapa duniani kwa ajali ya moto.. Ilikufa kwa maumivu na upweke mkubwa bila msaada wowote
Umewasaidia wengine kufa kwa mikono yako mwenyewe?Ilikuwa ni Nissan Civilian number C inayopiga ruti za Mbezi Mlandizi... Jana asubuhi mitaa ya Kibada ndio ilihitimisha safari yake hapa duniani kwa ajali ya moto.. Ilikufa kwa maumivu na upweke mkubwa bila msaada wowote
Wananchi walikuwepo.. Askari waliwepo.. Lakini wote walikuwa wamesimama mbali bila msaada.. Kwao ilikuwa ni ajali ya gari kuungua moto kwangu kilikuwa kifo cha gari
Nimeshakutana na vifo vingi sana.. Nimeshashuhudia watu wengi wakifa.. Wengine nimewasaidia kufa kwa mikono yangu mwenyewe.. Kitu nilichogundua.. Kifo hakizoeleki
Kifo cha gari jana kilikuwa kimojawapo.. Nikawaza namna walivyoanza safari yao pale Mlandizi.. Pengine konda na dereva hawakujua mwenzao anaumwa.. Wakamlazimisha hivyo hivyo
Kuna magari mengine yana roho mbaya sana, yakiumwa kisha yalazimishwe kufanya kazi huamua kujilipua na kufa na abiria.. Lilie la jana ni mbinguni moja kwa moja .. Liliamua kufa peke yake
Tajiri alitarajia kupokea kibunda cha wiki ama cha siku.. Hakupokea
Dereva naye alikuwa na matarajio yake na mipango yake kwa siku ya jana.. Yote iliyeyuka
Hivi konda anaweza kuwa mwaminifu akapeleka pess yote aliyokuwa keshakusanya? Ama atasingizia upotevu wakati wa taharuki?
Kuna abiria nauli yao ilikuwa ya kuungaunga.. Hao walikuwa na siku mbaya
Kuna ambao bado walikuwa hawajarudishiwa chenchi.. Hawa ilikula kkwao
Kuna ambao walikuwa hawajalipa nauli.. Hawa zali liliwaangukia.. Kufa kufaana
Pale ilipofia
Barabara pia iliumia
Kuna mimea iliungua
Kuna wadudu waliungua
Traffic walikosa bakshish na faini
Jiji limekosa mapato
Fundi gereji keshapoteza mteja
List ni ndefu.. Itoshe tu kusema kifo cha lile daladala kimeniuma sana maana kimeleta athari kwa wengi
Mshana Pole kwa kuumizwa na tukio la kifo cha gari,mbona lenyewe hukulipa msaada kwa mikono yako pia kama ambavyo umewahi kutoa msaada kwa baadhi,usisononeke sana hata kama chombo ilikuwa yako sema huenda wadau wakasaidia kupunguza maumivu kwa wote waliokutwa kwenye orodha hii ndefu.Pole pia kwa wote waliopoteza tangu vipata na ajira pia.Ilikuwa ni Nissan Civilian number C inayopiga ruti za Mbezi Mlandizi... Jana asubuhi mitaa ya Kibada ndio ilihitimisha safari yake hapa duniani kwa ajali ya moto.. Ilikufa kwa maumivu na upweke mkubwa bila msaada wowote
Wananchi walikuwepo.. Askari waliwepo.. Lakini wote walikuwa wamesimama mbali bila msaada.. Kwao ilikuwa ni ajali ya gari kuungua moto kwangu kilikuwa kifo cha gari
Nimeshakutana na vifo vingi sana.. Nimeshashuhudia watu wengi wakifa.. Wengine nimewasaidia kufa kwa mikono yangu mwenyewe.. Kitu nilichogundua.. Kifo hakizoeleki
Kifo cha gari jana kilikuwa kimojawapo.. Nikawaza namna walivyoanza safari yao pale Mlandizi.. Pengine konda na dereva hawakujua mwenzao anaumwa.. Wakamlazimisha hivyo hivyo
Kuna magari mengine yana roho mbaya sana, yakiumwa kisha yalazimishwe kufanya kazi huamua kujilipua na kufa na abiria.. Lilie la jana ni mbinguni moja kwa moja .. Liliamua kufa peke yake
Tajiri alitarajia kupokea kibunda cha wiki ama cha siku.. Hakupokea
Dereva naye alikuwa na matarajio yake na mipango yake kwa siku ya jana.. Yote iliyeyuka
Hivi konda anaweza kuwa mwaminifu akapeleka pess yote aliyokuwa keshakusanya? Ama atasingizia upotevu wakati wa taharuki?
Kuna abiria nauli yao ilikuwa ya kuungaunga.. Hao walikuwa na siku mbaya
Kuna ambao bado walikuwa hawajarudishiwa chenchi.. Hawa ilikula kkwao
Kuna ambao walikuwa hawajalipa nauli.. Hawa zali liliwaangukia.. Kufa kufaana
Pale ilipofia
Barabara pia iliumia
Kuna mimea iliungua
Kuna wadudu waliungua
Traffic walikosa bakshish na faini
Jiji limekosa mapato
Fundi gereji keshapoteza mteja
List ni ndefu.. Itoshe tu kusema kifo cha lile daladala kimeniuma sana maana kimeleta athari kwa wengi
bima kubwa ndo suluhishoIlikuwa ni Nissan Civilian number C inayopiga ruti za Mbezi Mlandizi... Jana asubuhi mitaa ya Kibada ndio ilihitimisha safari yake hapa duniani kwa ajali ya moto.. Ilikufa kwa maumivu na upweke mkubwa bila msaada wowote
Wananchi walikuwepo.. Askari waliwepo.. Lakini wote walikuwa wamesimama mbali bila msaada.. Kwao ilikuwa ni ajali ya gari kuungua moto kwangu kilikuwa kifo cha gari
Nimeshakutana na vifo vingi sana.. Nimeshashuhudia watu wengi wakifa.. Wengine nimewasaidia kufa kwa mikono yangu mwenyewe.. Kitu nilichogundua.. Kifo hakizoeleki
Kifo cha gari jana kilikuwa kimojawapo.. Nikawaza namna walivyoanza safari yao pale Mlandizi.. Pengine konda na dereva hawakujua mwenzao anaumwa.. Wakamlazimisha hivyo hivyo
Kuna magari mengine yana roho mbaya sana, yakiumwa kisha yalazimishwe kufanya kazi huamua kujilipua na kufa na abiria.. Lilie la jana ni mbinguni moja kwa moja .. Liliamua kufa peke yake
Tajiri alitarajia kupokea kibunda cha wiki ama cha siku.. Hakupokea
Dereva naye alikuwa na matarajio yake na mipango yake kwa siku ya jana.. Yote iliyeyuka
Hivi konda anaweza kuwa mwaminifu akapeleka pess yote aliyokuwa keshakusanya? Ama atasingizia upotevu wakati wa taharuki?
Kuna abiria nauli yao ilikuwa ya kuungaunga.. Hao walikuwa na siku mbaya
Kuna ambao bado walikuwa hawajarudishiwa chenchi.. Hawa ilikula kkwao
Kuna ambao walikuwa hawajalipa nauli.. Hawa zali liliwaangukia.. Kufa kufaana
Pale ilipofia
Barabara pia iliumia
Kuna mimea iliungua
Kuna wadudu waliungua
Traffic walikosa bakshish na faini
Jiji limekosa mapato
Fundi gereji keshapoteza mteja
List ni ndefu.. Itoshe tu kusema kifo cha lile daladala kimeniuma sana maana kimeleta athari kwa wengi
Ona hizi pimbi . unategemea nini hapo๐คฌ๐คฌ๐คฌMshana jana ilikuwa siku mbaya kwako,na kwangu pia.Kwangu hakuna aliyekufa,bali ni taarifa mbaya za kusikitisha kuhusu semina za uchaguzi zilizoendeshwa.Mtu wangu wa karibu alinieleza juu ya mambo waliyoelekezwa kufanya ili kusaidia chama chetu kushinda kwa vyovyote vile.Stress ilikuwa kubwa mpaka nikaishia kwenda kulewa tu.