Jana nimeshuhudia gari ikifa

Jana asubuhi mitaa ya Kibada ndio ilihitimisha safari yake hapa duniani kwa ajali ya moto.. Ilikufa kwa maumivu na upweke mkubwa bila msaada wowote

Wamezika hapa hapa au wamesafirisha?
 
Umewasaidia wengine kufa kwa mikono yako mwenyewe?

Angalia watoto wasije wakakuogopa mkuu!
 
Mshana Pole kwa kuumizwa na tukio la kifo cha gari,mbona lenyewe hukulipa msaada kwa mikono yako pia kama ambavyo umewahi kutoa msaada kwa baadhi,usisononeke sana hata kama chombo ilikuwa yako sema huenda wadau wakasaidia kupunguza maumivu kwa wote waliokutwa kwenye orodha hii ndefu.Pole pia kwa wote waliopoteza tangu vipata na ajira pia.
 
Mshana jana ilikuwa siku mbaya kwako,na kwangu pia.Kwangu hakuna aliyekufa,bali ni taarifa mbaya za kusikitisha kuhusu semina za uchaguzi zilizoendeshwa.Mtu wangu wa karibu alinieleza juu ya mambo waliyoelekezwa kufanya ili kusaidia chama chetu kushinda kwa vyovyote vile.Stress ilikuwa kubwa mpaka nikaishia kwenda kulewa tu.
 
bima kubwa ndo suluhisho
 
Ingekua gari ya gas wakataa gas wangekuja kukazia unabii
 
Ona hizi pimbi . unategemea nini hapo🀬🀬🀬
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…