Jana tu wananchi walikuwa wanalisema "Rutto Must Go" leo wabunge wanaimba "Gachagua must Go. Kuna haja ya siasa za Afrika kudhibitiwa na dola

Jana tu wananchi walikuwa wanalisema "Rutto Must Go" leo wabunge wanaimba "Gachagua must Go. Kuna haja ya siasa za Afrika kudhibitiwa na dola

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Nathan ni sahihi siasa za gulioni zikadhibitiwa ili zisiathiri usalama na utengamano wa nchi. Ndio maana China, Urusi, Tanzania zina siasa zenye mtangamano.

Mambo ya siasa za gulioni (demokrasia iliyopitiliza) yakiruhusiwa, yanaitoa nchi kwenye mstari.

Ndio kinachotokea Kenya, wananchi wameshasahau kwamba nia yao ilikuwa kumuondoa Rutto, Rutto anazungusha make no, anamtoa kafara Gachagua.

Nathan kuna tatizo mahali, ni dhahiri wote wanatakiwa kuondoka. Mmoja alikataliwa na wananchi, mwingine anakataliwa na Bunge, basi wote waondoke.

Siasa ikidhibitiwa na dola, hata Rais anaambiwa muache Makamu amalize miaka mitano, hata kama humtaki.
 
Demokrasia ya Kenya naipenda sana.yeyote anayeenda kinyume na manufaa ya umma anawajibishwa tofauti na hapa Tanzania ambapo rais Huwa anajiona ni ana akili kuwazidi wtz wote na hawezi kukosea kumbe wanamakosa mengi tu ikiwemo ya kufadhili magenge ya utekaji chini ya general mafwelenga
 
Ukabila ni hatarii. Hawa jamaa kuna siku watachinjana..
 
Back
Top Bottom