Jana tumempoteza mwenzetu kwa ujinga wa dereva pikipiki asiye na leseni, wengi hawana

Jana tumempoteza mwenzetu kwa ujinga wa dereva pikipiki asiye na leseni, wengi hawana

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Kuna vitu tukiiiendeleza tutashia kuzikana kila siku, kuna hili jamboo linakera sanaa sanaa. Kuna asilimia 75% ya madereva wa pikipiki hawana leseni sisemi kuwatisha. Kama hamuamini waanze operesheni wakishirikiana na TAKUKURU na maofisa wa makao makuu muone.

Anzeni njia ya Mwenge Kawe, nendeni shule Mbezi beach, nendeni Goba na viunga vyake. Nendeni Kimara kuanzia Ubungo mpaka Baruti Korogwe Kimara mwisho aibu.

Mbaya zaidi sisemi kwa ubaya wakuu wa matraffick eneo husika na matrafick wenyewe wanajua hili. Hamuamini waletwe maofisa wa makao makuu pale shule kituoni Mbezi Beach (aka shule Tanki Bovu) mkague huku traffick wamesimama mita nne toka kituo cha waendesha pikipiki😍

Jana tumepoteza mweñzetu toka hapo Mbezi kwa ujinga wa dereva na alipokaguliwa hakuwa na docs yoyote kuruhusu kuendesha pikipiki. Nnajua ntaumiza wengi ila sina budi kuponya wengi ili wapone roho zao.

Tunaomba mkuu wa matraffick fuatilia kituo cha Kawe na operation hii wawepo TAKUKURU kusaidia kukamata wale shwtani atawaingia wawachie huru watuhumiwa.

RIP, bro
 
Mkiwezaaa kucontrol Hahaa BASI nawaambia zilee pikpik zinazojaa kama.UCHAFU pale vituoni amtozionaa tenaaa na tenaaaaa

Mungu awafungueee hilii na kuwapa.moyoo wakujalii wananchii daimaa
 
Mkiwezaaa kucontrol Hahaa BASI nawaambia zilee pikpik zinazojaa kama. UCHAFU pale vituoni amtozionaa tenaaa na tenaaaaa

Mungu awafungueee hilii na kuwapa.moyoo wakujalii wananchii daimaa.
 
Pole Sana
Tatizo Pia Ni Kubwa
Baada Ya Ajali Ya Coaster Morogoro
Baadaye Bodaboda Maeneo Ya Kitungwa Opposite Na Cate Hotel Aligongwa Bodaboda Katikati Ya Barabara

Hii ya Cate hotel imetokea lini mkuu?
 
Back
Top Bottom