Nebuchadneza
JF-Expert Member
- Oct 6, 2023
- 435
- 1,093
Habari
Jana yanga imecheza na simba kama wanaofanya mazoezi,laiti yanga ingeamua kucheza mpira wake wa kila siku aisee aisee kwa makosa walikuwa wanaofanya simba jana simba ingefungwa tena goli 5 na kuendelea,walikuwa wapo wazi sana,sema niungwana na wawazee wa yanga na tunajua ukishazeeka unapiga bao zako 2 tu inaisha.
Simba jaribuni kuishukuru yanga kwa kuwasitiri sana,maana ingekuwa aibu tena kwenu
Jana yanga imecheza na simba kama wanaofanya mazoezi,laiti yanga ingeamua kucheza mpira wake wa kila siku aisee aisee kwa makosa walikuwa wanaofanya simba jana simba ingefungwa tena goli 5 na kuendelea,walikuwa wapo wazi sana,sema niungwana na wawazee wa yanga na tunajua ukishazeeka unapiga bao zako 2 tu inaisha.
Simba jaribuni kuishukuru yanga kwa kuwasitiri sana,maana ingekuwa aibu tena kwenu