Jana tumewasiri sana watani(simba).

Jana tumewasiri sana watani(simba).

Nebuchadneza

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2023
Posts
435
Reaction score
1,093
Habari
Jana yanga imecheza na simba kama wanaofanya mazoezi,laiti yanga ingeamua kucheza mpira wake wa kila siku aisee aisee kwa makosa walikuwa wanaofanya simba jana simba ingefungwa tena goli 5 na kuendelea,walikuwa wapo wazi sana,sema niungwana na wawazee wa yanga na tunajua ukishazeeka unapiga bao zako 2 tu inaisha.

Simba jaribuni kuishukuru yanga kwa kuwasitiri sana,maana ingekuwa aibu tena kwenu
 
Habari
Jana yanga imecheza na simba kama wanaofanya mazoezi,laiti yanga ingeamua kucheza mpira wake wa kila siku aisee aisee kwa makosa walikuwa wanaofanya simba jana simba ingefungwa tena goli 5 na kuendelea,walikuwa wapo wazi sana,sema niungwana na wawazee wa yanga na tunajua ukishazeeka unapiga bao zako 2 tu inaisha.

Simba jaribuni kuishukuru yanga kwa kuwasitiri sana,maana ingekuwa aibu tena kwenu
Ball possession, shots on target pass accuracy na conners tulimwachia Makolokolo ISIPOKUWA techniques, tactics, winning mentalities na disciplines ndizo tulitembea nazo Utopolo tukamla Makolokolo 2 - 1 Full Time.

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
JamiiForums-312072181.jpg
 
Simba kweli haipo sawa lakini sio kwa wachezaji bali kiuongozi kuna jambo halipo sawa mambo ya umiliki wa Simba n.k.
Yanga imetulia mwekezaji Gsm na mwenyekiti Gsm. Simba ?? MO anataka apewe Simba yote na hilo ni gumu.
MWishowe uongozi wanahusika.
Jana Yanga walicheza bila pressure wakifungwa au sare sawa hiyo kwa wachezaji ni safi wamecheza bila hofu yeyote. Simba walihitaji ushindi tu. Na wamefungwa. Sasa suala la Simba lipo nje ya uwanja zaidi... lipo kwa uongozi.
Simba hii hii ingekuwa sawa ndani na nje basi mechi ingekuwa ngumu na nzuri.
Sasa jana mpira gani ule ulichezwa.
 
Back
Top Bottom