changaule
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 6,039
- 10,151
Tukio lililotokea Jana linafanana kabisa na la leo kwenye mechi ya Simba vs coastal union. Mchezaji wa Coastal union kachezewa faulo ndani ya 18 lakini refa hakufunika tuta. Jana mlipiga kelele humu kwa tukio kama hilo kwa kusema Yanga imebebwa