Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaa tena atapigiwa simu kabisa na mwanaume mwingne ataipokea na uku mko katikati ya safari[emoji23]😀 😀 😀 A wewe unashughulika yeye anachat...
Ha ha haaaa... si wanasemaga ufundi peleka veta, ukiwa na mashine tu inatosha.Mpaka uwe fundi lakini[emoji85][emoji85][emoji85][emoji86]
Na wewe umekua mwandishi wa mashairi?Niko pahala ujue... Leo ni big day ya malkia wa chitchat.. Charm decor[emoji86][emoji86][emoji86]sweet like potato
Ha ha ha haaaaa... kuna operator mmoja wa kijiko kule Kitai-mbinga kwenye mgodi wa makaa ya mawe ni sheeder, yaani anaoperate mpaka mdadi unapanda!Mashine bila operator mzoefu!? Haiwezekani kabisa
Lazima utakua mchaga wewe..Nikate viuno vya nini?
Kwani nikiwa still hakojoii?
MI mmasaiL
Lazima utakua mchaga wewe..
Hahahaaaa una haki. Maana mmasai akikatiwa kiuno utasikia anauliza, Yero, mbona haitulii??MI mmasai
Na mie vivyo hivyoHahahaaaa una haki. Maana mmasai akikatiwa kiuno utasikia anauliza, Yero, mbona haitulii??