Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 2,833
- 1,301
MHE. JANEJELLY NTATE AIBUKIA JUKWAA LA UCHUMI LA WANAWAKE
Mbunge wa Wafanyakazi Taifa anayetokea Mkoa wa Dar es Salaam Mh. Janejelly James Ntate aibukia Jukwaa la Uchumi la Wanawake Mwanamtoti, Kata ya kijichi Dar es Salaam kuwaelezea umuhimu wa kumpongeza Mh. Dkt Samia Suluhu Hassan Kwa kufikia miaka miwili madarakani. Shughuli hiyo itafanyika tarehe 19.03.2019 Mnazi Mmoja Dar es Salaam.
Mhe. Ntate amesema kuwa hata alipoachiwa na mtangulizi wake, hakuna kilichosimama kwa sababu Bwawa la Mwalimu Nyerere (JNHPP) linaendelea kujengwa, Ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR), Daraja la Busisi linaendelea, Madaraja ya juu ya Flyover zinaendelea, Miradi ya Barabara za mwendokasi (BRT) inaendelea.
Mhe. Ntate amewaomba wanawake wote kutoka katika Kata zote za Mkoa wa Dra es Salaam kuhudhuria sherehe za kumpongeza Rais Samia ili kumpongeza mama yetu ambapo sherehe hizo zitafanyika kitaifa katika Mkoa wa Dar es Salaam viwanja vya Mnazi mmoja na mgeni rasmi atakuwa ni yeye mwenyewe Rais Samia.
Mhe. Ntate amewaomba pia wababa kujitokeza kumpongeza Rais Samia kwa miaka miwili ya madarakani.
Mbunge wa Wafanyakazi Taifa anayetokea Mkoa wa Dar es Salaam Mh. Janejelly James Ntate aibukia Jukwaa la Uchumi la Wanawake Mwanamtoti, Kata ya kijichi Dar es Salaam kuwaelezea umuhimu wa kumpongeza Mh. Dkt Samia Suluhu Hassan Kwa kufikia miaka miwili madarakani. Shughuli hiyo itafanyika tarehe 19.03.2019 Mnazi Mmoja Dar es Salaam.
Mhe. Ntate amesema kuwa hata alipoachiwa na mtangulizi wake, hakuna kilichosimama kwa sababu Bwawa la Mwalimu Nyerere (JNHPP) linaendelea kujengwa, Ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR), Daraja la Busisi linaendelea, Madaraja ya juu ya Flyover zinaendelea, Miradi ya Barabara za mwendokasi (BRT) inaendelea.
Mhe. Ntate amewaomba wanawake wote kutoka katika Kata zote za Mkoa wa Dra es Salaam kuhudhuria sherehe za kumpongeza Rais Samia ili kumpongeza mama yetu ambapo sherehe hizo zitafanyika kitaifa katika Mkoa wa Dar es Salaam viwanja vya Mnazi mmoja na mgeni rasmi atakuwa ni yeye mwenyewe Rais Samia.
Mhe. Ntate amewaomba pia wababa kujitokeza kumpongeza Rais Samia kwa miaka miwili ya madarakani.