Janga la Corona limempaisha Rais Magufuli kisiasa

Janga la Corona limempaisha Rais Magufuli kisiasa

Yani hadi wazungu wenyewe wamechoka Lockdown ujue Mh.Magu aliona mbali......
Tumia akili yako, lock down yao ilikuwa kudhibiti maambukizi huku ufumbuzi wa kudumu ukitafutwa na wamefanikiwa hilo.
Huwezi kulinganisha na sera zenu za nyungu
 
Namna ambavyo Rais magufuri amejipambanua kukabiliana na janga la corona ni dhahiri amekonga nyoyo za walio wengi na hii imepelekea kupata uungwaji mkono na maelfu ya watanzania wakiwemo wa vyama vya upinzani.

Kitendo cha Rais Magufuli kutokubaliana na agenda ya kujifungia (LOCK DOWN) ambayo ndio ilikuwa agenda kuu ya upinzani, wananchi wamekipokea kama maamuzi sahihi ya kuwavusha katika kipindi hiki cha janga la corona dhidi ya baa la njaa na matatizo mengine ya kiuchumi.

Leo Rais Magufuli ametoa tamko la kufungua vyuo na shule kwa wanafunzi wa form six hili pia wananchi wamelipokea kama uamuzi wa busara kwa sababu linasaidia kulinda ajira za walimu wa shule na vyuo binafsi ambao walikuwa wanaishi katika kipindi kigumu kutokana na kusitishiwa mishahara yao. Hali kadhalika uamuzi huu unasaidia kulinda usalama wa wanafunzi dhidi ya vishawishi mitaani na hatari ya mimba za utotoni.

Kwa namna Rais Magufuli amejitoa na hatua alizochukua kukabiliana na corona hakika amepata wafuasi wengi hasa katika kipindi hiki kuelekea uchaguzi mkuu. kwahivyo vyama vya upinzani vijipange kisawa sawa kwa sababu uchaguzi ujao utakuwa ni mgumu kwa upande wao baada ya kupoteza wafuasi wake kutokana na agenda zilizokosa credibility katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa corona.

Sambamba na hatua nzuri anazochukua Rais Magufuli kupambana na corona ni vema sasa akaangalia areas of weakness ambazo bado zinahitaji utatuzi mathalani suala la ajira kwa vijana, azitatue ili kufikia October wananchi wawe na kazi moja pekee ya kuchukua na kuweka waaa.
Limempaisha hadi kuwa kiongozi wa malaika huko mawinguni
 
Yani hadi wazungu wenyewe wamechoka Lockdown ujue Mh.Magu aliona mbali......

Wazungu kwako ndio kipimo cha jambo baya au zuri?? Halafu baadae kidogo utasikia “mabeberu”.

Sijui mijitu mingine ina nini huko ndani kwenye fuvu.
 
Tumia akili yako, lock down yao ilikuwa kudhibiti maambukizi huku ufumbuzi wa kudumu ukitafutwa na wamefanikiwa hilo.
Huwezi kulinganisha na sera zenu za nyungu
Mmmmm bado hawajafanikiwa mku unaambiwa hata ukipewa chanjo mashariti ni yale yale ya social distance na mwendo wa barakoa. Maombi kwetu ndo silaa alafu nyungu zinasindikiza.
 
Namna ambavyo Rais magufuri amejipambanua kukabiliana na janga la corona ni dhahiri amekonga nyoyo za walio wengi na hii imepelekea kupata uungwaji mkono na maelfu ya watanzania wakiwemo wa vyama vya upinzani.

Kitendo cha Rais Magufuli kutokubaliana na agenda ya kujifungia (LOCK DOWN) ambayo ndio ilikuwa agenda kuu ya upinzani, wananchi wamekipokea kama maamuzi sahihi ya kuwavusha katika kipindi hiki cha janga la corona dhidi ya baa la njaa na matatizo mengine ya kiuchumi.

Leo Rais Magufuli ametoa tamko la kufungua vyuo na shule kwa wanafunzi wa form six hili pia wananchi wamelipokea kama uamuzi wa busara kwa sababu linasaidia kulinda ajira za walimu wa shule na vyuo binafsi ambao walikuwa wanaishi katika kipindi kigumu kutokana na kusitishiwa mishahara yao. Hali kadhalika uamuzi huu unasaidia kulinda usalama wa wanafunzi dhidi ya vishawishi mitaani na hatari ya mimba za utotoni.

Kwa namna Rais Magufuli amejitoa na hatua alizochukua kukabiliana na corona hakika amepata wafuasi wengi hasa katika kipindi hiki kuelekea uchaguzi mkuu. kwahivyo vyama vya upinzani vijipange kisawa sawa kwa sababu uchaguzi ujao utakuwa ni mgumu kwa upande wao baada ya kupoteza wafuasi wake kutokana na agenda zilizokosa credibility katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa corona.

Sambamba na hatua nzuri anazochukua Rais Magufuli kupambana na corona ni vema sasa akaangalia areas of weakness ambazo bado zinahitaji utatuzi mathalani suala la ajira kwa vijana, azitatue ili kufikia October wananchi wawe na kazi moja pekee ya kuchukua na kuweka waaa.
Janga la korona limemtupa jpm kaburini, huu ndio ukweli halisi!
 
JPM atabaki kuwa JPM mambo anayofanya wanaoweza kuyaona na kukiri ni wachache sana, kama wanaweza kusema ukweli ni Mwinyi, Mkapa pamoja na Kikwete maana wao walikuwepo pale. Wakisema bila kumung'unya ukweli ndio mtafahamu Hili ni jembe tena sio jembe tu bali la chuma cha pua. If you know what I mean.
Wacha weee
 
Back
Top Bottom