Tumia akili yako, lock down yao ilikuwa kudhibiti maambukizi huku ufumbuzi wa kudumu ukitafutwa na wamefanikiwa hilo.Yani hadi wazungu wenyewe wamechoka Lockdown ujue Mh.Magu aliona mbali......
Sawa. Hata mwendazake alilijua hili?Katika maisha mwanadamu lazima upitie stage tatu KUZALIWA, KUISHI NA KUFA. Usisahu hilo mkuu maana sisi wote ni marehemu watarajiwa
Alijua na ndiyo maana alisema ipo siku mtanikumbuka kwa mazuri, na pia aliwahi kutania kuwa ataenda kuwa kiongozi wa malaika.Sawa. Hata mwendazake alilijua hili?
Limempaisha hadi kuwa kiongozi wa malaika huko mawinguniNamna ambavyo Rais magufuri amejipambanua kukabiliana na janga la corona ni dhahiri amekonga nyoyo za walio wengi na hii imepelekea kupata uungwaji mkono na maelfu ya watanzania wakiwemo wa vyama vya upinzani.
Kitendo cha Rais Magufuli kutokubaliana na agenda ya kujifungia (LOCK DOWN) ambayo ndio ilikuwa agenda kuu ya upinzani, wananchi wamekipokea kama maamuzi sahihi ya kuwavusha katika kipindi hiki cha janga la corona dhidi ya baa la njaa na matatizo mengine ya kiuchumi.
Leo Rais Magufuli ametoa tamko la kufungua vyuo na shule kwa wanafunzi wa form six hili pia wananchi wamelipokea kama uamuzi wa busara kwa sababu linasaidia kulinda ajira za walimu wa shule na vyuo binafsi ambao walikuwa wanaishi katika kipindi kigumu kutokana na kusitishiwa mishahara yao. Hali kadhalika uamuzi huu unasaidia kulinda usalama wa wanafunzi dhidi ya vishawishi mitaani na hatari ya mimba za utotoni.
Kwa namna Rais Magufuli amejitoa na hatua alizochukua kukabiliana na corona hakika amepata wafuasi wengi hasa katika kipindi hiki kuelekea uchaguzi mkuu. kwahivyo vyama vya upinzani vijipange kisawa sawa kwa sababu uchaguzi ujao utakuwa ni mgumu kwa upande wao baada ya kupoteza wafuasi wake kutokana na agenda zilizokosa credibility katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa corona.
Sambamba na hatua nzuri anazochukua Rais Magufuli kupambana na corona ni vema sasa akaangalia areas of weakness ambazo bado zinahitaji utatuzi mathalani suala la ajira kwa vijana, azitatue ili kufikia October wananchi wawe na kazi moja pekee ya kuchukua na kuweka waaa.
Yani hadi wazungu wenyewe wamechoka Lockdown ujue Mh.Magu aliona mbali......
Mmmmm bado hawajafanikiwa mku unaambiwa hata ukipewa chanjo mashariti ni yale yale ya social distance na mwendo wa barakoa. Maombi kwetu ndo silaa alafu nyungu zinasindikiza.Tumia akili yako, lock down yao ilikuwa kudhibiti maambukizi huku ufumbuzi wa kudumu ukitafutwa na wamefanikiwa hilo.
Huwezi kulinganisha na sera zenu za nyungu
Janga la korona limemtupa jpm kaburini, huu ndio ukweli halisi!Namna ambavyo Rais magufuri amejipambanua kukabiliana na janga la corona ni dhahiri amekonga nyoyo za walio wengi na hii imepelekea kupata uungwaji mkono na maelfu ya watanzania wakiwemo wa vyama vya upinzani.
Kitendo cha Rais Magufuli kutokubaliana na agenda ya kujifungia (LOCK DOWN) ambayo ndio ilikuwa agenda kuu ya upinzani, wananchi wamekipokea kama maamuzi sahihi ya kuwavusha katika kipindi hiki cha janga la corona dhidi ya baa la njaa na matatizo mengine ya kiuchumi.
Leo Rais Magufuli ametoa tamko la kufungua vyuo na shule kwa wanafunzi wa form six hili pia wananchi wamelipokea kama uamuzi wa busara kwa sababu linasaidia kulinda ajira za walimu wa shule na vyuo binafsi ambao walikuwa wanaishi katika kipindi kigumu kutokana na kusitishiwa mishahara yao. Hali kadhalika uamuzi huu unasaidia kulinda usalama wa wanafunzi dhidi ya vishawishi mitaani na hatari ya mimba za utotoni.
Kwa namna Rais Magufuli amejitoa na hatua alizochukua kukabiliana na corona hakika amepata wafuasi wengi hasa katika kipindi hiki kuelekea uchaguzi mkuu. kwahivyo vyama vya upinzani vijipange kisawa sawa kwa sababu uchaguzi ujao utakuwa ni mgumu kwa upande wao baada ya kupoteza wafuasi wake kutokana na agenda zilizokosa credibility katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa corona.
Sambamba na hatua nzuri anazochukua Rais Magufuli kupambana na corona ni vema sasa akaangalia areas of weakness ambazo bado zinahitaji utatuzi mathalani suala la ajira kwa vijana, azitatue ili kufikia October wananchi wawe na kazi moja pekee ya kuchukua na kuweka waaa.
Wacha weeeJPM atabaki kuwa JPM mambo anayofanya wanaoweza kuyaona na kukiri ni wachache sana, kama wanaweza kusema ukweli ni Mwinyi, Mkapa pamoja na Kikwete maana wao walikuwepo pale. Wakisema bila kumung'unya ukweli ndio mtafahamu Hili ni jembe tena sio jembe tu bali la chuma cha pua. If you know what I mean.
Mkuu Kwaresma haijaisha tu? Umepiga U-turn ya kutisha sana, wote ni CCM tu.JPM yupo kwenye mfungo wa kwaresma wengi hawafahamu tu, subirini Ijumaa kuu na Pasaka.