Janga la Corona na mustakabali wa ada kwa wanafunzi

Janga la Corona na mustakabali wa ada kwa wanafunzi

Shakir

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2012
Posts
1,627
Reaction score
1,926
Wakuu kwema?

Natumai mko salama katika Janga hili hatari lililotukumba la CORONA.

Kabla ya kwenda kwenye mada, ningependa kwanza kutoa uchanganuzi katika suala la gharama Kama nilivyojifunza. "Cost" pamoja migawanyo mingine imegawanyika pia katika makundi mawili ambayo ni "Fixed Costs" na " "Variable Costs".

FIXED COSTS ni zile gharama ambazo kwa namna yoyote ile haziathiriwi na uzalishaji au ufanyaji kazi wa mtu, taasisi au kampuni. Mfano ukipanga Jengo basi gharama ya kodi hua haiangalii wingi au uchache was shughuli unayofanya kwenye Jengo hilo. Fixed Costs zingine ni Kama vile mishahara ya "Permanent Employees".

VARIABLE COSTS ni zile gharama ambazo zenyewe zitaongezeka au kupungua kulingana na kuongezeka au kupungua kwa shughuli za uzalishaji kwa mtu, taasisi au kampuni husika.

Sasa nikirudi kwenye mada, Shule zimefungwa, watoto wako Nyumbani. Kupitia ufungaji huu wa lazima, "VARIABLE COSTS mbali mbali zimepungua kwa shule kama vile BREAKFAST na CHAKULA kwa wanafunzi, MAFUTA ya School Buses, Umeme, etc.

Kwa sasa wazazi wanabeba majukumu ya kuwalisha watoto asubuhi na mchana siku za wiki jukumu ambalo lilikua liwe la shule ambako wazazi walishalipa ada kwa ajili hiyo.

Mchanganuo na Gharama hizi unahusu Shule zile za Binafsi zenye hizo facilities nilizozitaja. Je, hili janga litakapoisha watoto wakarudi shule, serikali haioni kua kuna haja ya kupunguza hii ada ili kumpunguzia mzazi gharama?

Stay Home, Stay Safe.
 
Wengine huwa tunalipa kwa quarterly, Yani Q1 ni January to March, Q2 inaanza baada ya likioz ya Easter, Q3 ni baada y alikizo ya June, na@Q4 ni baad ya midterm ya September. Kwa Mimi sijapata hasara kabisa.

Yes mkuu,
Au hata wa term mpaka June pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengine huwa tunalipa kwa quarterly, Yani Q1 ni January to March, Q2 inaanza baada ya likioz ya Easter, Q3 ni baada y alikizo ya June, na@Q4 ni baad ya midterm ya September. Kwa Mimi sijapata hasara kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
So unadhani kuna Quarter mtakua exempted NO ada?
 
Nilishajiwekea principle ya kulipa kila kitu kwa usumbufu, kama ni ada, kodi nk naenda kwa deadline na ultimatum ila nabalance kabla haijafikia mambo ya penalty. Tiketi nakatia stand hamna habari ya safari ya keshokutwa nikate tiketi leo labda niwe sina jinsi.
Vuta picha umelipa ada ya mwaka mzima kwa kutopenda usumbufu halafu inatokea dharula kama hii ya corona? Au umekata tiketi halafu basi linakuacha!
 
Yes, quarter 2 hatuwezi kulipa maana inaisha June, na am not sure Kama shuke zitakua zimefunguliwa, na hata zikifunguliwa Ada itakua ndogi maana itakua busy quarter sio quarter nzima

Sent using Jamii Forums mobile app
Ok,
But nadhan hiyo inakua ni uamuzi binafsi wa shule yenu, ila hii inapaswa itolewe muongozo na Serikali
 
Nilishajiwekea principle ya kulipa kila kitu kwa usumbufu, kama ni ada, kodi nk naenda kwa deadline na ultimatum ila nabalance kabla haijafikia mambo ya penalty. Tiketi nakatia stand hamna habari ya safari ya keshokutwa nikate tiketi leo labda niwe sina jinsi.
Vuta picha umelipa ada ya mwaka mzima kwa kutopenda usumbufu halafu inatokea dharula kama hii ya corona? Au umekata tiketi halafu basi linakuacha!
Kwa Shule walivyo na tamaa watataka tu ada full
 
No shule ya private, Haina haha ya kutolewa muongozo na serikali, nadhani no makubaliano baina ya wazazi wazazi na shule, sio rahisi kulipa ada ya shilingi milioni Tisa kwa Mara moja ndio maana wameweka option ya kulipa kwa instalment na no Jambo zuri maana inatupa unafuu sisi wazazi wenye Hali ya chini Tena ukute watoto wako wote watatu wanasoma shule hiyo hiyo
Ok,
But nadhan hiyo inakua ni uamuzi binafsi wa shule yenu, ila hii inapaswa itolewe muongozo na Serikali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom