The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Huo moto ungetokea Iran,wale wamarekani weusi wa Tunduru wangesikika hapa wakisema;Huu moto ungekuwa umetokea Iran sasa hivi uzi ungekuwa umejaa wamarekani uchwara na comment zao zingekuwa ni Iran inatumia pesa kutengeneza makombora badala ya kuwekeza kwenye majanga.
''Mossad na CIA wamesha fanya yao tayari"