The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Huo moto ungetokea Iran,wale wamarekani weusi wa Tunduru wangesikika hapa wakisema;Huu moto ungekuwa umetokea Iran sasa hivi uzi ungekuwa umejaa wamarekani uchwara na comment zao zingekuwa ni Iran inatumia pesa kutengeneza makombora badala ya kuwekeza kwenye majanga.
KabisaHuo moto ungetokea Iran,wale wamarekani weusi wa Tunduru wangesikika hapa wakisema;
''Mossad na CIA wamesha fanya yao tayari"
Kweli kabisaHuu moto ungekuwa umetokea Iran sasa hivi uzi ungekuwa umejaa wamarekani uchwara na comment zao zingekuwa ni Iran inatumia pesa kutengeneza makombora badala ya kuwekeza kwenye majanga.
Israel ni kansa kwenye hii dunia, wanafanya duniani kuwe sehemu hatari sana kwa binadamu kuishiOngeza na hili intelligence ya Israel ni hatari imeona kupigana vita ni kupota pesa na Mali hivyo imekuja na mbinu mpya ya kivita ya moto.
Hivyo Iran inateketea kwa moto bila risasi na wale mashabiki maandazi wa dini wagesema hasira za Mungu zimewaka kwa taifa lake kuchokozwa.
Wamerakani ni watu wanaojifanya wako very perfect kuliko binadamu yyote hapa dunia. Fwatilia mambo ya siasa ya dunia utanielewa. GE0 POLITICS za duniaMkuu emu shusha pumzi kidogo yawezekana wewe si muumini wa dini yoyote, lakini elewa Mungu yupo na yeye ndie mwenye uwezo wa kila kitu, hii dunia ameiumba yeye pamoja na vilivyomo na vyote vipo kwa usimamizi wake yeye, hakuna anachoamua yeye kitokee na kikashindikana kutokea, wala hakuna wa kuzuia mpaka kwa amri yake yeye, na yeye ndio mlinzi.
Ukubwa wowote wa Taifa la Marekani US au Taifa lolote duniani ambalo kwa akili yako unaona ni superpower kwa Mungu si chochote, na hii dunia ina mwisho itaondoka pia.
Capitalist haijawahi kuwa sawa.Sera za Marekani ni za ajabu sana!