Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Kwa mnaotumia barabara hii asubuhi, tumeona msongamano mkubwa wa magari kila siku.
Magari mengi yamehama toka kutumia barabara ya Bagamoyo na sasa watu wengi waendao makazini mjini CBD wanaitumia Round About ya Kawe na hii barabara ya Mwai KIbaki.
Na msongamano huo si wa kitoto.
Siku askari wa Traffic wakichelewa kufika huwa ni balaa!
JANGA LINALO KUJA
Tumeona mablock NANE ya ghorofa nafikiri8 au9, Kawe Beach yanajengwa.
Vile vile kuna mablock nafikiri 8 au 9 hapo Tanganyika Packers yana maliziwa sasa hivi.
Hapo ina maana tumeongeza karibia wati 4,000 wenye magari yanayoweza fika hata 3,000 kila asubuhi .
Mziki wake utauona asubuhi kila mmoja akianza kwenda kazini.
Hii Round About ya Kawe na barabara ya Mwai Kibaki itakuwa haitoshi kubeba mzigo huu wa magari kwa wakati mmoja.
Hivyo basi katika muda huu , haraka sana barabara ya Kawe kwenda baramoyo road, barabara ya Mwai Kibaki, njia hizi zipanuliwe ili ziwe njia nne.
Huu ni ushauri tu.
Magari mengi yamehama toka kutumia barabara ya Bagamoyo na sasa watu wengi waendao makazini mjini CBD wanaitumia Round About ya Kawe na hii barabara ya Mwai KIbaki.
Na msongamano huo si wa kitoto.
Siku askari wa Traffic wakichelewa kufika huwa ni balaa!
JANGA LINALO KUJA
Tumeona mablock NANE ya ghorofa nafikiri8 au9, Kawe Beach yanajengwa.
Vile vile kuna mablock nafikiri 8 au 9 hapo Tanganyika Packers yana maliziwa sasa hivi.
Hapo ina maana tumeongeza karibia wati 4,000 wenye magari yanayoweza fika hata 3,000 kila asubuhi .
Mziki wake utauona asubuhi kila mmoja akianza kwenda kazini.
Hii Round About ya Kawe na barabara ya Mwai Kibaki itakuwa haitoshi kubeba mzigo huu wa magari kwa wakati mmoja.
Hivyo basi katika muda huu , haraka sana barabara ya Kawe kwenda baramoyo road, barabara ya Mwai Kibaki, njia hizi zipanuliwe ili ziwe njia nne.
Huu ni ushauri tu.