Janga lingine laikumba Libya, mafuriko yaua Watu 6,000, wengine 10,000 hawajulikani walipo

Hakuna katika miji hiyo watu waliosombwa kwa maelfu kama Libya.
 
Hizi nchi za wazee wa TaQbir ni majanga sana
Mungu huchukizwa na mipango Yao ya kutakankuifanya dunia ( wakianzaia Afrika Algeria ni mfano) kuwa na dini Yao. Kiongozi wao gadafi alitumia rasilimali, nguvu za kijeshi( mfano wa vita ya Tanzania na uganda) , ushawishi wa kifedha kwa baadhi ya viongozi kuziruhusu nchi zao zijiunge na majumuia ya dini yao
 
Hakuna katika miji hiyo watu waliosombwa kwa maelfu kama Libya.
... context ni "majanga hayana mwenyewe"; hatupaswi kumcheka aliyepatwa na maafa kwa kumtazama kwa sifa zozote zile. Ubinadamu kwanza.
 
Majanga kama haya namuomba Mungu yasitokee kwenye nchi yangu kwa sababu najua nchi yangu ipo nyuma sana kwenye maandalizi dhidi ya majanga wengi watapoteza maisha.
 
Ikitokea Bongo hii watu watakufa kama kumbikumbi
 
Kama ajali za kawaida ambazo intervention ya kuzuia maafa tunashindwa miserably ,sasa disaster zikistrike ,si ndio kupoteana ?
 
Kama ajali za kawaida ambazo intervention ya kuzuia maafa tunashindwa miserably ,sasa disaster zikistrike ,si ndio kupoteana ?
Maprofesa wetu watatusaidia kubuni njia za kuzuia majanga
 
Huna kazi ya kufanya
Umuombee mwaraabu afu wee upate nini?
Lolote baya liwakute hasa Morocco.
 
Hili janga lingetokea Vatican 🤔🤔🤔🤔server za jf zingekoma
 
ZIMEPITA SIKU NGAPI TOKA HAWA JAMAA WAANDAMANE KUPINGA ISRAEL NA YULE WAZIRI WAO KUTIMULIWA KWA KUONGEA NA ISRAEL?
 
إِنَّا لِلَّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ

“Innā lillāhi wa innā ilaihi rāji’ūn.”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…