Jangwani hakuna miti ya maana wala misitu lakini mbona mvua zinanyesha?

Jangwani hakuna miti ya maana wala misitu lakini mbona mvua zinanyesha?

senzighe

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2012
Posts
2,108
Reaction score
1,666
Najiuliza hili jambo mara nyingi kwani kuna wakati nilikuwa kule Sharjah,moja katika falme za kiarabu (IMARATI).

Siku moja ikanyesha mvua kubwa tena ya kutisha na kwa muda mrefu.

Nikajiuliza kule hakuna misitu kama huku kwetu tunayoitegemea kwa mvua,inakuwaje wapte mvua ?
 
Back
Top Bottom