Jangwani kunateketea sasa ni official Bangala na Djuma Shabani wanataka kuondoka rasmi

Kwa ligi yetu iliopofikia mchezaji anaweza kudai hela ya usajiri miaka miwili? humu JF ni sawa na kijiweni kila mtu anakuja na habari ilimradi kuchangamsha genge
Ligi yetu?

Kwani hili swala ni la ligi au ni matatizo ya ndani ya uongozi wa Club?

Yanga Princess wamedai kuwa sio mshahara tu hadi signing fee hawajalipwa. Sasa hapo ligi inaingiaje?
 
Acha pateke
PATEKETee wanasema wanae GSM
 
Na ile ya Manara kuwa wenye akili ni wawili nayo hairuhusiwi kujumuishwa hapo juu?
Manara alisema akiwa Simba hivyo haina nguvu maana mpinzani anaweza kuongea chochote hata madai ya uwongo dhidi ya upande mwingine .

Kauli ya Rage inapaswa kuwekewa Lamination kabisa ...
 
Manara alisema akiwa Simba hivyo haina nguvu maana mpinzani anaweza kuongea chochote hata madai ya uwongo dhidi ya upande mwingine .

Kauli ya Rage inapaswa kuwekewa Lamination kabisa ...
Ilikuwa haina nguvu kipindi kile akiwa Simba.

Saizi ina nguvu kwasababu imeonesha dhahiri shahiri kuwa ni ukweli alichokiongea kupitia kitendo cha nyie kumpokea tena.
 
Ligi yetu?

Kwani hili swala ni la ligi au ni matatizo ya ndani ya uongozi wa Club?

Yanga Princess wamedai kuwa sio mshahara tu hadi signing fee hawajalipwa. Sasa hapo ligi inaingiaje?
Nna ongelea NBC premier League huko timu za wanawake hakuna timu haidaiwi labda JKT Queens
 
Nna ongelea NBC premier League huko timu za wanawake hakuna timu haidaiwi labda JKT Queens
Simba Queens uliona wapi ikidaiwa?

Mkataba wa 1B kwa mwaka walioingia na M-Bet kwa hadhi yao unatosha kulipa kila kitu na machenchi yanabaki.
 
Kama wanadai haki yao, viongozi wangewalipa mapema iwezekanavyo. Haya mambo ya madeni/madai huwa yanashusha sana morali ya wachezaji.

Mimi nilifikiri labda waliamua tu kuomba kuondoka, ili kwenda kutafuta changamoto mpya! Kumbe wanadai fedha zao za usajili!! Viongozi wa Yanga waache uswahili.
 
Ilikuwa haina nguvu kipindi kile akiwa Simba.

Saizi ina nguvu kwasababu imeonesha dhahiri shahiri kuwa ni ukweli alichokiongea kupitia kitendo cha nyie kumpokea tena.
Kwa hiyo timu ikamsajilli mchezaji aliyewahi kuwafunga wanakuwa hawana akili ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…