Janja ya Mo Dewj iko hapa

Wana hisa wa yanga wapo wangapi?
mbona hampendi kuona simba ikiwa imetulia?
Hisa 51% mnasema simba ndo inamiliki je simba wametoa Nini kwenye huo uwekezaji?
 
Iyo stars ikianza kufanya vizuri utamuona waziri na siasa km kawa sasa hivi wameisusa
Kwanini Mo Dewji anajitesa hivi kwenye soccer la Tanzania ambalo linametawaliwa na siasa na umbumbumbuu. Ni bora angekuwa anaichangia Taifa starz kama Mengi aachane na mavilabu pasua kichwa.
 
Mi namtafutia tusi la kumfaa huyo kilomolomo ila naona sipati linalomtosha.
 
kuupitia hili nmegundua kuwa Simba ni Mali ya CCM
Umebugi mkuu. Ni kuwa CCM ni waoga wanajua kuwa Simba na Yanga ni block kubwa mbili ambazo ni almost fifty fifty ya Watanzania, hivyo hawataki ziwe na nguvu kubwa hivyo, wanajua kuwa block moja ukiwa imara inaweza kutumika kisiasa kuiyumbisha CCM katika ndoto yake ya kutawala milele. Kinachofanyika hapa ni siasa chafu na za kishamba za kuwaondolea Watanzania furaha yao kimchezo kwa hofu na uchu wao wa huhodhi nguvu ya kisiasa. Kinachoikuta Simba sasa japokuwa Yanga wanafurahia kitaikuta Yanga siku ikikaribia kufikia mafanikio. CCM ni genge la washamba fulani hivi ambalo halijali furaha ya wananchi wake kwa hofu tu ya kuhosa ushwawishi.
 
Ningekua karibu na waziri siku ile ningemuliza yeye kama waziri, aliomba kununua hisa wakati simba ikitangaza wawekezaji wajitokeze akanyimwa kununua hisa hizo?

mbona mzee bakresa alishindwa kufikia na mohamedi akapata nafasi hiyo kwa kushinda kandarasi hiyo?

mbele ya wanachama wa simba kwa kauli 1 tuliadhimia kumpa timu mohamedi kama mwekezaji na sio mzee bakresa.

naombatu watuambie yeye na mzee kilomoni wanatumwa na nani kutuvurugia klabu yetu? Mohamedi huyu huyu ndie ametoa pesa zake mfukoni kusajili wachezaji msimu uliopita nakupelekea timu yetu kufanya vizuri kimataifa na kuchukua ubingwa wa ligi.

watuambie yeye waziri na kilomoni wameifanyia nini simba? Kama sio kutaka kuivuruga timu yetu? Mafanikio timu iliyoyapata kimataifa imepelekea kuongezewa nafasi za uwakilishi kutoka timu 2 mpaka timu 4 je! Katika mafanikio hayo mohamedi utamwacha kumpa heshima yake kama mzalendo na mpenda maendeleo wa klabu yetu ya simba?

tunawaomba waziri pamoja na mzee kilomoni watuachie timu yetu tulishampa mo basi.
 
Umesahau drama ya Manji?
 
Kuna muda na sema hizi club za simba na yanga ni club za kuacha kidogo zipitie msoto ata kushuk daraja..haiwezekani timu zinamiaka zaidi ya 60 ila bado zero kwenye uendeshaji
 
Kwanini Mo Dewji anajitesa hivi kwenye soccer la Tanzania ambalo linametawaliwa na siasa na umbumbumbuu. Ni bora angekuwa anaichangia Taifa starz kama Mengi aachane na mavilabu pasua kichwa.
Taifa stars ipi??? Hii Mali ya sisiem au??
 
Kuliko kulia lia na serikali ni bora wanasimba wafanye hivyo..sheria upingwa kwa sheria..japo hii sio sheria ni poroja tu za waziri..
Hivi private entity kama SSC inakuaje waziri anakuwa na nguvu ya kupanga jinsi ya kumiliki ? Sirikali kwann hisianzishe timu yake halafu ikapanga hayo Mambo ?
 
 
Mbona wasomaji ni wengi kwenye hili lakini hakuna comments zozote?au mikia kisu kimegusa kwenye kidonda?Muhindi atabaki kuwa Muhindi mbele ya Juma.Wenuna 49% halafu unafanya kila kitu zaidi ya alokuzidi?
Ujinga mlionao ndio utakaowaponza siku akiondoka huyo mhindi usiempenda mtaumbuka.
 
Upo sawa
 
Hata maslahi ya taifa hawajali
 
Interest kubwa ya mshabiki kwa Team ni ushindi na makombe sio kugawana pesa
 
Mazungumzo eti bado yanaendelea. No atawapoza wafumbe macho aendelee kuwa peke yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…