Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
mapigano hayo ya chadema kwa chadema kesho yanasubiriwa kwa hamu sana aise gentleman 🐒Huku hatukashifu watu wa Kanda ya ziwa Victoria eti WACHAWI na wamekufa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mapigano hayo ya chadema kwa chadema kesho yanasubiriwa kwa hamu sana aise gentleman 🐒Huku hatukashifu watu wa Kanda ya ziwa Victoria eti WACHAWI na wamekufa
AmenHabari njema itawaamsha waliolala kwa kukosa MATUMAINI waliokata tamaa kujaa Furaha walioshindwa kutembea KURUKARUKA wasio ona KUONA walio na KIU kuuona mto walio na machozi KUFUTWA
Kesho NYATI anafunguliwa zizini nyati anakwenda KUTUONGOZA kuchanja MSITU
Hotuba ya KUSISIMUWA itapasuwa Mioyo ya Maadui zetu na KESHO wajiandae kwa GANZI KALI...Dunia inakwenda kushuhudia hili jambo la Kihistoria katika Sisasa za Maziwa Makuu
Baada ya hapo NYATI atazuunguka kila kona ya nchi kupungia maelfu ya watu walio fufuka na Matumaini huku WAKIBIBUJIKWA NA MACHOZI YA FURAHA....Hakika Sauti za vilio VIMESIKIKA ....mwenye FUNGUO KAFUNGUKA
Wengi upande ule watakuja kuungana NASI na wengine huko wameanza kulewa midomoni
Kwa sasa wingu JEUSI LIMETANDA na kila moja kwa MAOMBI NA DUA ZAKE
Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki CHADEMA
Tulianza na Mungu na Kesho TUNAMALIZA MUNGU!!!!
Sijui lucas naye atabubujikwa?Habari njema itawaamsha waliolala kwa kukosa MATUMAINI waliokata tamaa kujaa Furaha walioshindwa kutembea KURUKARUKA wasio ona KUONA walio na KIU kuuona mto walio na machozi KUFUTWA
Kesho NYATI anafunguliwa zizini nyati anakwenda KUTUONGOZA kuchanja MSITU
Hotuba ya KUSISIMUWA itapasuwa Mioyo ya Maadui zetu na KESHO wajiandae kwa GANZI KALI...Dunia inakwenda kushuhudia hili jambo la Kihistoria katika Sisasa za Maziwa Makuu
Baada ya hapo NYATI atazuunguka kila kona ya nchi kupungia maelfu ya watu walio fufuka na Matumaini huku WAKIBIBUJIKWA NA MACHOZI YA FURAHA....Hakika Sauti za vilio VIMESIKIKA ....mwenye FUNGUO KAFUNGUKA
Wengi upande ule watakuja kuungana NASI na wengine huko wameanza kulewa midomoni
Kwa sasa wingu JEUSI LIMETANDA na kila moja kwa MAOMBI NA DUA ZAKE
Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki CHADEMA
Tulianza na Mungu na Kesho TUNAMALIZA MUNGU!!!!
Kikao chenu mwisho MMETAPIKA huko kanda ziwa mtaingiaje kuwaita WACHAWI WALIOKUFAmapigano hayo ya chadema kwa chadema kesho yanasubiriwa kwa hamu sana aise gentleman 🐒
Huku jina haliji kwenye pochi....Hivi nyinyi wanachama wa CDM hamuoni aibu kushabikia viongozi wenu wakubwa wakiparurana?
Kesho mpak BBC na CNN wapoTunasubiri YouTube LIVE link
Ndio utamu wa siasaHivi nyinyi wanachama wa CDM hamuoni aibu kushabikia viongozi wenu wakubwa wakiparurana?
Demokrasia wao majina kwenye pochiNdio utamu wa siasa
Habari njema itawaamsha waliolala kwa kukosa MATUMAINI waliokata tamaa kujaa Furaha walioshindwa kutembea KURUKARUKA wasio ona KUONA walio na KIU kuuona mto walio na machozi KUFUTWA
Kesho NYATI anafunguliwa zizini nyati anakwenda KUTUONGOZA kuchanja MSITU
Hotuba ya KUSISIMUWA itapasuwa Mioyo ya Maadui zetu na KESHO wajiandae kwa GANZI KALI...Dunia inakwenda kushuhudia hili jambo la Kihistoria katika Sisasa za Maziwa Makuu
Baada ya hapo NYATI atazuunguka kila kona ya nchi kupungia maelfu ya watu walio fufuka na Matumaini huku WAKIBIBUJIKWA NA MACHOZI YA FURAHA....Hakika Sauti za vilio VIMESIKIKA ....mwenye FUNGUO KAFUNGUKA
Wengi upande ule watakuja kuungana NASI na wengine huko wameanza kulewa midomoni
Kwa sasa wingu JEUSI LIMETANDA na kila moja kwa MAOMBI NA DUA ZAKE
Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki CHADEMA
Tulianza na Mungu na Kesho TUNAMALIZA MUNGU!!!!
😍Habari njema itawaamsha waliolala kwa kukosa MATUMAINI waliokata tamaa kujaa Furaha walioshindwa kutembea KURUKARUKA wasio ona KUONA walio na KIU kuuona mto walio na machozi KUFUTWA
Kesho NYATI anafunguliwa zizini nyati anakwenda KUTUONGOZA kuchanja MSITU
Hotuba ya KUSISIMUWA itapasuwa Mioyo ya Maadui zetu na KESHO wajiandae kwa GANZI KALI...Dunia inakwenda kushuhudia hili jambo la Kihistoria katika Sisasa za Maziwa Makuu
Baada ya hapo NYATI atazuunguka kila kona ya nchi kupungia maelfu ya watu walio fufuka na Matumaini huku WAKIBIBUJIKWA NA MACHOZI YA FURAHA....Hakika Sauti za vilio VIMESIKIKA ....mwenye FUNGUO KAFUNGUKA
Wengi upande ule watakuja kuungana NASI na wengine huko wameanza kulewa midomoni
Kwa sasa wingu JEUSI LIMETANDA na kila moja kwa MAOMBI NA DUA ZAKE
Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki CHADEMA
Tulianza na Mungu na Kesho TUNAMALIZA MUNGU!!!!
KUNAKUCHA
Ndio utamu wa siasa
Lucas anabubujikwa na mishuzi tuSijui lucas naye atabubujikwa?
🤣🤣Kuna watu kesho watapotea njia ya kwenda makwao.
Hata Dodoma kasaulikapamoja na uchawa wake ....chama kinawenyeweLucas anabubujikwa na mishuzi tu
Azam itakuwa liveTunasubiri YouTube LIVE link
Nilishamuonya kuwa anachofanya ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu,sasa hivi amebakia kukata miuno kwenye mikutano ya CCM kuwaburudisha wajumbe.Hata Dodoma kasaulikapamoja na uchawa wake ....chama kinawenyewe