Pre GE2025 Januari 21, 2025 nchi itazizima ni kishindo kufuatia Uchaguzi Mkuu CHADEMA

Pre GE2025 Januari 21, 2025 nchi itazizima ni kishindo kufuatia Uchaguzi Mkuu CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Habari njema itawaamsha waliolala kwa kukosa MATUMAINI waliokata tamaa kujaa Furaha walioshindwa kutembea KURUKARUKA wasio ona KUONA walio na KIU kuuona mto walio na machozi KUFUTWA

Kesho NYATI anafunguliwa zizini nyati anakwenda KUTUONGOZA kuchanja MSITU

Hotuba ya KUSISIMUWA itapasuwa Mioyo ya Maadui zetu na KESHO wajiandae kwa GANZI KALI...Dunia inakwenda kushuhudia hili jambo la Kihistoria katika Sisasa za Maziwa Makuu

Baada ya hapo NYATI atazuunguka kila kona ya nchi kupungia maelfu ya watu walio fufuka na Matumaini huku WAKIBIBUJIKWA NA MACHOZI YA FURAHA....Hakika Sauti za vilio VIMESIKIKA ....mwenye FUNGUO KAFUNGUKA

Wengi upande ule watakuja kuungana NASI na wengine huko wameanza kulewa midomoni

Kwa sasa wingu JEUSI LIMETANDA na kila moja kwa MAOMBI NA DUA ZAKE

Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki CHADEMA

Tulianza na Mungu na Kesho TUNAMALIZA MUNGU!!!!
Amen
 
Habari njema itawaamsha waliolala kwa kukosa MATUMAINI waliokata tamaa kujaa Furaha walioshindwa kutembea KURUKARUKA wasio ona KUONA walio na KIU kuuona mto walio na machozi KUFUTWA

Kesho NYATI anafunguliwa zizini nyati anakwenda KUTUONGOZA kuchanja MSITU

Hotuba ya KUSISIMUWA itapasuwa Mioyo ya Maadui zetu na KESHO wajiandae kwa GANZI KALI...Dunia inakwenda kushuhudia hili jambo la Kihistoria katika Sisasa za Maziwa Makuu

Baada ya hapo NYATI atazuunguka kila kona ya nchi kupungia maelfu ya watu walio fufuka na Matumaini huku WAKIBIBUJIKWA NA MACHOZI YA FURAHA....Hakika Sauti za vilio VIMESIKIKA ....mwenye FUNGUO KAFUNGUKA

Wengi upande ule watakuja kuungana NASI na wengine huko wameanza kulewa midomoni

Kwa sasa wingu JEUSI LIMETANDA na kila moja kwa MAOMBI NA DUA ZAKE

Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki CHADEMA

Tulianza na Mungu na Kesho TUNAMALIZA MUNGU!!!!
Sijui lucas naye atabubujikwa?
 
Kesho natamani mbowe aamke tumbo la kuhara limembana kishenzi hata ukumbini asitie mguu mhuni yule, Lissu awe mwenyekiti ndiye mpinzani wa kweli tofauti na huyo tapeli!
 
Habari njema itawaamsha waliolala kwa kukosa MATUMAINI waliokata tamaa kujaa Furaha walioshindwa kutembea KURUKARUKA wasio ona KUONA walio na KIU kuuona mto walio na machozi KUFUTWA

Kesho NYATI anafunguliwa zizini nyati anakwenda KUTUONGOZA kuchanja MSITU

Hotuba ya KUSISIMUWA itapasuwa Mioyo ya Maadui zetu na KESHO wajiandae kwa GANZI KALI...Dunia inakwenda kushuhudia hili jambo la Kihistoria katika Sisasa za Maziwa Makuu

Baada ya hapo NYATI atazuunguka kila kona ya nchi kupungia maelfu ya watu walio fufuka na Matumaini huku WAKIBIBUJIKWA NA MACHOZI YA FURAHA....Hakika Sauti za vilio VIMESIKIKA ....mwenye FUNGUO KAFUNGUKA

Wengi upande ule watakuja kuungana NASI na wengine huko wameanza kulewa midomoni

Kwa sasa wingu JEUSI LIMETANDA na kila moja kwa MAOMBI NA DUA ZAKE

Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki CHADEMA

Tulianza na Mungu na Kesho TUNAMALIZA MUNGU!!!!
Habari njema itawaamsha waliolala kwa kukosa MATUMAINI waliokata tamaa kujaa Furaha walioshindwa kutembea KURUKARUKA wasio ona KUONA walio na KIU kuuona mto walio na machozi KUFUTWA

Kesho NYATI anafunguliwa zizini nyati anakwenda KUTUONGOZA kuchanja MSITU

Hotuba ya KUSISIMUWA itapasuwa Mioyo ya Maadui zetu na KESHO wajiandae kwa GANZI KALI...Dunia inakwenda kushuhudia hili jambo la Kihistoria katika Sisasa za Maziwa Makuu

Baada ya hapo NYATI atazuunguka kila kona ya nchi kupungia maelfu ya watu walio fufuka na Matumaini huku WAKIBIBUJIKWA NA MACHOZI YA FURAHA....Hakika Sauti za vilio VIMESIKIKA ....mwenye FUNGUO KAFUNGUKA

Wengi upande ule watakuja kuungana NASI na wengine huko wameanza kulewa midomoni

Kwa sasa wingu JEUSI LIMETANDA na kila moja kwa MAOMBI NA DUA ZAKE

Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki CHADEMA

Tulianza na Mungu na Kesho TUNAMALIZA MUNGU!!!!
😍
 
"....nilikwambia Kiongozi, hawa jamaa lilikuwa ni suala la wakati. Hatimaye mwisho wao umewadia tena ki ulaini tu."

"....JPM tulimpa njia hii aliyoitumia mama akaikataa. Sasa mama kawaingiza kwenye 18 wamejaa-hahaha!"

"....Mchagga na pesa unawatofautishaje?! Yule Kuhani wa kule kwao ndicho kilikuwa chambo kikuu. Kilipolainishwa chambo na kazi ikawa laini kwa aliyejiita mwamba kumbe jamba."

"....wale ndiyo bye bye tena, hawatokaa wawe wamoja abadani. Na mwisho wa ule mradi wao, nao umefika ukingoni."
 
Back
Top Bottom