Pre GE2025 Januari 21, 2025 nchi itazizima ni kishindo kufuatia Uchaguzi Mkuu CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Amen
 
Sijui lucas naye atabubujikwa?
 
mapigano hayo ya chadema kwa chadema kesho yanasubiriwa kwa hamu sana aise gentleman πŸ’
Kikao chenu mwisho MMETAPIKA huko kanda ziwa mtaingiaje kuwaita WACHAWI WALIOKUFA
 
Kesho natamani mbowe aamke tumbo la kuhara limembana kishenzi hata ukumbini asitie mguu mhuni yule, Lissu awe mwenyekiti ndiye mpinzani wa kweli tofauti na huyo tapeli!
 
😍
 
"....nilikwambia Kiongozi, hawa jamaa lilikuwa ni suala la wakati. Hatimaye mwisho wao umewadia tena ki ulaini tu."

"....JPM tulimpa njia hii aliyoitumia mama akaikataa. Sasa mama kawaingiza kwenye 18 wamejaa-hahaha!"

"....Mchagga na pesa unawatofautishaje?! Yule Kuhani wa kule kwao ndicho kilikuwa chambo kikuu. Kilipolainishwa chambo na kazi ikawa laini kwa aliyejiita mwamba kumbe jamba."

"....wale ndiyo bye bye tena, hawatokaa wawe wamoja abadani. Na mwisho wa ule mradi wao, nao umefika ukingoni."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…