Hii mbona ngumu kumeza, yani wale wajumbe walioteuliwa na waziri aliyekuwa na dhamana hiyo baada ya kupokea maelekezo toka kwa bosi wake Magufuli [RIP], leo wawe sababu ya kukwamisha ujenzi wa hilo bwawa? No.
Mimi naona kinyume chake ndio kweli, hawa wajumbe wa sasa, walioteuliwa na Makamba baada ya kupokea maelekezo toka kwa bosi wake Samia kwamba sasa gas ndio kila kitu, ndio wanaokwamisha ujenzi wa Nyerere Dam.