Januari Makamba kafanya nini kwenye nchi yetu hadi tufikiri kumpa urais?

Januari Makamba kafanya nini kwenye nchi yetu hadi tufikiri kumpa urais?

Paulsylvester

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2021
Posts
1,464
Reaction score
3,379
Kuwa mbunge na Waziri Kwa miaka mingi, sio hoja!

Hoja ni nini umefanya katka nafasi zako hizo? Una record zipi ktk kulitumikia Taifa na hata upewe nafasi ya juu zaidi.?

Tuweni wakweli tu, Mh January, amelifanyia nini Taifa letu mbali na kuwa kwenye nafasi Mbalimbali za juu kiuongozi.

Ni mambo yepi mazuri aliyofanya kama Taifa nasi tukajivunia ukilonganisha na sikendo zake na kushindwa kwake kwingi ktk wizara alizowahi kuongoza?

Tuwapimeni viongozi wetu Kwa matunda yao na uadirifu wao.

So kila MTU aweza kuwa kiongozi wa juu, wengine walipaswa wawe wenyeviti wa mtaa.
 
Kabla ya kuhoji juu ya January makamba hembu kwanza twambie kama swali hili limeshawahi kutumika kumpata mdombea wa ccm, bora hata January tuseme chama ana kijua. Yule chizi aliyekuwa na faili mirembe hajawahi kuwa na hiyo sifa lakini alikuja kuwa raisi japo MPUUZI
 
Kabla ya kuhoji juu ya January makamba hembu kwanza twambie kama swali hili limeshawahi kutumika kumpata mdombea wa ccm, bora hata January tuseme chama ana kijua. Yule chizi aliyekuwa na faili mirembe hajawahi kuwa na hiyo sifa lakini alikuja kuwa raisi japo MPUUZI
Umeulizwa kalifanyia nn Taifa sio kuijua CCM mzee! Hatujadili kuhusu Katibu wa CCM hapa ila tunajadili juu ya kiongozi wa Nchi Yetu.
 
Akipitishwa atajieleza kwenye kampeni alichofanyia nchi na kwanini anaitaka nafasi hiyo nyeti kisha tutampima apewe au la.
 
Kuwa mbunge na Waziri Kwa miaka mingi, sio hoja!

Hoja ni nini umefanya katka nafasi zako hizo? Una record zipi ktk kulitumikia Taifa na hata upewe nafasi ya juu zaidi.?

Tuweni wakweli tu, Mh January, amelifanyia nini Taifa letu mbali na kuwa kwenye nafasi Mbalimbali za juu kiuongozi,

Ni mambo yepi mazuri aliyofanya kama Taifa nasi tukajivunia ukilonganisha na sikendo zake na kushindwa kwake kwingi ktk wizara alizowahi kuongoza?

Tuwapimeni viongozi wetu Kwa matunda yao na uadirifu wao

So kila MTU aweza kuwa kiongozi wa juu, wengine walipaswa wawe wenyeviti wa mtaa
Inshort kuna watu huko walishajiwekea wao lazima wawe Mawaziri ndiyo ao wakina January! Hakuna lolote zaidi kwakuwa Baba alikuwa mtu mkubwa ndani ya chama nawao wanapitia nafasi io.
 
Amehakikisha umeme unagawiwa bila kelele kutoka kwa wananchi.

Anaweza kupewa 10% huko Taifa G, na wananchi tusijue..

Anajua mbinu zote za upigaji, amerithi mbinu hizo kutoka kwa "Wanamtandao". Ni mtiifu kwao.

Amehakikishiwa uwaziri hadi 2030. Atakuwa akihamishiwa Wizara za minofu tu, sio zile za mifupa kama za Muungano, Mazingira, Michezo, n.k


Anatafutiwa ujumbe wa NEC kamati kuu amalize kazi aliyotumwa.


Waliomwamini ni hao wanaofanya "sorting" huko CCM, japo wananchi hawamtaki.

Wenye hela wapo nyuma yake, kumtangaza.
 
Hana sifa yeyote ya kuwa rais.Lakini kutokana na ccm kutuona watanzania huwa hatuchukui hatua ndiyo maana wanaweza kumpitisha yeyote hata ambaye hana sifa kama huyo unayemsema
 
Kabla ya kuuliza kuhusu January,tuanze na CCM,kipi kikubwa imefanya ili tuendelee kuiamini na kuipa nchi kwa mara nyingine ituongoze? Mpaka leo nchi inakosa maji na umeme wa uhakika,huku tuna vyanzo vingi vya kutuwezesha kuondoa kabisa changamoto hizo.
Turudi kwenye rasimu ya warioba,tupate katiba mpya,tuondoe huu mfumo wa kundi fulani pekee kuwa na mamlaka ya kiuongozi Tanzania.
 
Amehakikisha umeme unagawiwa bila kelele kutoka kwa wananchi.

Anaweza kupewa 10% huko Taifa G, na wananchi tusijue..

Anajua mbinu zote za upigaji, amerithi mbinu hizo kutoka kwa "Wanamtandao". Ni mtiifu kwao.

Amehakikishiwa uwaziri hadi 2030. Atakuwa akihamishiwa Wizara za minofu tu, sio zile za mifupa kama za Muungano, Mazingira, Michezo, n.k


Anatafutiwa ujumbe wa NEC kamati kuu amalize kazi aliyotumwa.


Waliomwamini ni hao wanaofanya "sorting" huko CCM, japo wananchi hawamtaki.

Wenye hela wapo nyuma yake, kumtangaza.
tupe ushahidi wa maneno yako
 
Kabla ya kuhoji juu ya January makamba hembu kwanza twambie kama swali hili limeshawahi kutumika kumpata mdombea wa ccm, bora hata January tuseme chama ana kijua. Yule chizi aliyekuwa na faili mirembe hajawahi kuwa na hiyo sifa lakini alikuja kuwa raisi japo MPUUZI
Daaah...! Una chuki sana zidi ya mwamba, chuma kabisa JPM
 
Huyo anapoteza muda tu, yeye ajiandae kukamuliwa pesa anazoibia watanzania. Urais hata wa sebuleni kwa hapati
 
Urais umekuwa dili sana .

Viongozi badala ya kupambana na changamoto tulizonazo kwa sasa hakuna anayejali ndio kwanza kila.mtu anapiga hesabu zake za kupata kiti.

Hawa watu hawatufai jamani.

Wamedhihirisha wazi waziatamanio yao ambayo sio ya kwetu.

Tuwakatae mapema tu.
 
Huyo anapoteza muda tu, yeye ajiandae kukamuliwa pesa anazoibia watanzania. Urais hata wa sebuleni kwa hapati
Mbona unajusahau tukumbuke ili uwe rais wa nchi hii ni lazima utoke kwenye ukoo wa walamba asali na waridhie ndipo tume ya uchaguzi inaelekezwa yote yakufanywa ndipo raisi anasubiria tarehe ya kuapishwa ili aingie magogoni

Wakati tunapiga kura gheresha na kupanga mistari mirefu toka asubuh mpaka jioni huku tunachagizwa na kauli mbiu za viongozi wetu wa dini tuiombee nchi yetu tufanye uchaguzi wa amani na utulivu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuwa mbunge na Waziri Kwa miaka mingi, sio hoja!

Hoja ni nini umefanya katka nafasi zako hizo? Una record zipi ktk kulitumikia Taifa na hata upewe nafasi ya juu zaidi.?

Tuweni wakweli tu, Mh January, amelifanyia nini Taifa letu mbali na kuwa kwenye nafasi Mbalimbali za juu kiuongozi,

Ni mambo yepi mazuri aliyofanya kama Taifa nasi tukajivunia ukilonganisha na sikendo zake na kushindwa kwake kwingi ktk wizara alizowahi kuongoza?

Tuwapimeni viongozi wetu Kwa matunda yao na uadirifu wao

So kila MTU aweza kuwa kiongozi wa juu, wengine walipaswa wawe wenyeviti wa mtaa
Zaidi ya Nyerere na sifa yake ya kuleta Uhuru, hao Marais waliopata walilifanyia nini Taifa mpaka kustahili hiyo nafasi. Anza na Maza ili tuelezwe mwelekeo.
 
Mbona unajusahau tukumbuke ili uwe rais wa nchi hii ni lazima utoke kwenye ukoo wa walamba asali na waridhie ndipo tume ya uchaguzi inaelekezwa yote yakufanywa ndipo raisi anasubiria tarehe ya kuapishwa ili aingie magogoni

Wakati tunapiga kura gheresha na kupanga mistari mirefu toka asubuh mpaka jioni huku tunachagizwa na kauli mbiu za viongozi wetu wa dini tuiombee nchi yetu tufanye uchaguzi wa amani na utulivu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ngoja muda ufike utaelewa kwanini 'nimejisahau'. Mikamba haji kutawala nchi hii kamwe
 
KWA THREAD HII MWIGULU ATAKULIPA SH.NGAPI?


MTAMFILISI MNYIRAMBA WA WATU KWA SIASA ZA MAJITAKA NA URAIS ASIPATE!
 
Back
Top Bottom