kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Watu wanajadili kukosekana kwa Makonda, Kigwangala, Nape, Gambo kwenye baraza la Mawaziri wanashindwa kujua hata January hayupo.
Je, January hakustahili, Hana sifa au mzee ameona kwamba akimpa atatumia muda mwingi kujitangaza kuliko kumsaidia? Je, ni kosa kwake kujitabiria na kujipanga kugombea Tena Urais? January pls come out with free mind knowing that we live once and once we got chance to live we need to live our life not their life.
Je, January hakustahili, Hana sifa au mzee ameona kwamba akimpa atatumia muda mwingi kujitangaza kuliko kumsaidia? Je, ni kosa kwake kujitabiria na kujipanga kugombea Tena Urais? January pls come out with free mind knowing that we live once and once we got chance to live we need to live our life not their life.