Januari Makamba sikuoni barazani, what's wrong?

Januari Makamba sikuoni barazani, what's wrong?

Anajitambua, nae hapendi watu wa namna hiyo, Kikwete alimwambia ni muhimu kulea viongozi vijana ili waweze shika hatamu baadae, sio kuwafunika, hajaelewa tu!
Kuongoza kijana ni January pekee yake?
Mbona kuna vijana wengi mawaziri na manaibu!
 
Kuongoza kijana ni January pekee yake?
Mbona kuna vijana wengi mawaziri na manaibu!
Kweli wengi ila wanaweza kuwa wote jamii ya hapi, bashite, kigwangala, nchemba hao wala haina haja ya kuwalea! Bahati mbaya ndio wanalelewa sijui wafike wapi!
 
Back
Top Bottom