Mtumishiwetu
Senior Member
- Jul 13, 2022
- 196
- 346
Nimeona Video inayosambaa kwa kasi sana mitandaoni ya Waziri wa Nishati, Januari Makamba akiwaita wabunge na watanzania wapuuzi na kama hawamtaki wamuue.
Kwenye hotuba yake ametumia neno MSHENZI huyo akimaanisha wabunge na Kamati ya Bunge ya Nishati iliyohoji bungeni kuhusu kuchelewa kwa Mradi wa JNHPP na kukatika kwa umeme kuwa wamekuwa wakimtuka na kumuita MSHENZI.
Sasa tunaomba Makamba na vijana wake mlioko humu mtuwekee clip ya Mbunge au Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge alipotamka Makamba Mshenzi bungeni ili tutumie kama rejea muhimu. kama ambavyo sisi tuna clip yake anayowaita watanzania wapuuzi na wamuue.
Kwenye hotuba yake ametumia neno MSHENZI huyo akimaanisha wabunge na Kamati ya Bunge ya Nishati iliyohoji bungeni kuhusu kuchelewa kwa Mradi wa JNHPP na kukatika kwa umeme kuwa wamekuwa wakimtuka na kumuita MSHENZI.
Sasa tunaomba Makamba na vijana wake mlioko humu mtuwekee clip ya Mbunge au Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge alipotamka Makamba Mshenzi bungeni ili tutumie kama rejea muhimu. kama ambavyo sisi tuna clip yake anayowaita watanzania wapuuzi na wamuue.