Januari tuwekee ushahidi wa video ya Kamati ya Bunge au Mbunge aliyekuita 'Mshenzi'

Januari tuwekee ushahidi wa video ya Kamati ya Bunge au Mbunge aliyekuita 'Mshenzi'

 
Nimeona Video inayosambaa kwa kasi sana mitandaoni ya Waziri wa Nishati, Januari Makamba akiwaita wabunge na watanzania wapuuzi na kama hawamtaki wamuue.

Kwenye hotuba yake ametumia neno MSHENZI huyo akimaanisha wabunge na Kamati ya Bunge ya Nishati iliyohoji bungeni kuhusu kuchelewa kwa Mradi wa JNHPP na kukatika kwa umeme kuwa wamekuwa wakimtuka na kumuita MSHENZI.

Sasa tunaomba Makamba na vijana wake mlioko humu mtuwekee clip ya Mbunge au Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge alipotamka Makamba Mshenzi bungeni ili tutumie kama rejea muhimu. kama ambavyo sisi tuna clip yake anayowaita watanzania wapuuzi na wamuue.


Unaonyesha wazi jinsi ulivyo na Bifu, chuki na Fitina kuhusu January Makamba. Yaani ulivyo mjinga unajisahau hadi unafungua Thread zaidi ya kumi na zote ni kwaajili ya kumfitini Makamba. UNAPOTUMIA NGUVU NYINGI KUMJENGEA MTU FITNA ZA WIVU NA CHUKI UJUE HATA WEWE KUNA MABAYA YATAKUFUATA TU.
LENGO LAKO SIO JEMA KABISA.

NAKUSHAURI IFUKUZE HIYO ROHO IKAWAINGIE NGURUWE na hutakuwa na chuki kamwa
 
Back
Top Bottom