Hapa umeonyesha jinsi ulivyo MPUMBAVU mkubwa.Magufuli amekufa akiwa mzee wa miaka 61, unasema kawahi kwasababu alikuwa na roho mbaya.Unasahau kuwa kuna watu wanakufa wakiwa vichanga,wengine wanakufa wakiwa vijana wadogo sana.
UPUMBAVU kama huu unazaliwa nao au kuna sehemu umesomea?