MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 843
Maaaaambo!, we lete tu, utuone tulivo wanawake wa shoka...stronger than some few men in here, wasipotajwa kidogo tu wanaanza kuweweseka na ndimi kuwatoka...
Mlugulu tena?
haya wee...
Kelly01, du kweli we mnyalu....pumguza hizo hasira dada....people talk.
Usije ukatuaribia shughuli hiyo weekend au wewe usije jiaribia brownie points au?
Mazee hapa nimepotea kabisaa wala sielewi whats up...ebana huyo jamaa (uwiano) lazima nije nimfanyizie aisee....anajifanya mjanja sana
Mazee hapa nimepotea kabisaa wala sielewi whats up...
Kerl inawezekana huijui vzr familia ya makamba hususani watoto wake! Juzi tu mzee makamba kakana kumjua mwanae Ally kwa sababu amefukuzwa kazi ya uhakimu mkazi moshi! Tek kea na hoja zako!
First of all...ndiyo kwanza una post moja tu ..alafu unakuja kunifundisha mimi jinsi ya ku tek kea hoja zangu!@......wewe acha kuparamia vivuli kijana....hujui watu wana discuss nini unakuja tuu bila sera gadamit!.....akafu for the record my name si not kerl!....go figure!...
Kama makamba alimkana mtoto wake Ally so whats the big deal haongelewi Ally hapa anaongelewa January makamba as next generation leader!....get it?!....
Ok now Semilong (sorry i guess i got your name right)...@ lets not discuss about people lets discuss about ideas...maana kuna wengine wako negative about this guy JM!.....Hata nikisema nitoe wasifu wake still watu hawatakubaliana naye so i guess kilichobakia ni kuongelea ideas only! labda hiyo itafaa badala ya kumuongelea JM as a person!...
Am not saying he's ready kutinga ukingoni now, am just supporting the point that, if he gets more experience na kupikwa a bit more, he can be a potential future leader and a good example kwa vijana wengine.
Ally ni yule Hakimu Moshi mjini?mbona amefanana sana na mzee Makamba basi na JM mwambie apunguze kulewa ni aibu mtu ufukuzwe kazi kwa ulevi.First of all...ndiyo kwanza una post moja tu ..alafu unakuja kunifundisha mimi jinsi ya ku tek kea hoja zangu!@......wewe acha kuparamia vivuli kijana....hujui watu wana discuss nini unakuja tuu bila sera gadamit!.....akafu for the record my name si not kerl!....go figure!...
Kama makamba alimkana mtoto wake Ally so whats the big deal haongelewi Ally hapa anaongelewa January makamba as next generation leader!....get it?!....
narudia kama kuna mtu ana hoja za msingi kwa nini JANUARY MAKAMBA hafai azilete then tujadili
bado hakuna aliyekuja na hoja mahususi kwa nini JANUARY HAFAI naona mna zunguuka zunguka tuu hapa
He looks suspect...the 'how u doin' type...kinda zesty...fruity...
Haha umeniacha hoi babu duh!!
Ila wanaosema huyu dogo handsome nao metre zao za kupima uhandsome ziko chini sana (No homo).
Kuna mtu ana text/audio/video ya hiyo hotuba aliyotoa JM kwenye huo mkutano wa CCM?
Halafu eti wanadai ana workout....kwikwikwiiiii....siijui workout plan yake ikoje lakini hiyo body sii ya mtu anaye workout....but like you said...kila mtu ana viwango vyake...
Kui seems to like the 'how u doin' type....
It's all in the head dear...if you know what I mean...