With all due respect,katika zama hizi ambazo tumekuwa tukisikia mapenzi ya jinsia moja yakizidi kushamiri huko nyumbani inatatizo kuona a man anatoka povu kumtemtea/kumremba another man.....
Tukiweka hilo kando,kama Januari Makamba ameshindwa kumudu binti alomzalisha to an extent binti huyo akaishia kuwa mithili ya dada poa mitaa ya Four Ways,Masaki,nk what should we expect of him kwenye uongozi mkubwa zaidi?Put it this way,jukumu lipi kubwa zaidi:kum-mantain baby mama wako au kutumikia Watanzania milioni 40+?
Sijui ni unyonge au kujikomba....NEW GENERATION in what sense?