Eqlypz
JF-Expert Member
- May 24, 2009
- 4,065
- 643
Chief--u have made your point. Sawa! although I should point out that in doing so, u have decided to cherry-picking my post and taking it out of contents (understandably so). Look, I "miswrote" linking 50+ pages and intellectuality but the point is there is a buzz around him which in modern politics is crucial for any ambitious aspirations especially for 2015.
Cutting long storoo short, the argument of who is smarter sijui maninini! Yo-I would like my president to be smart. Regardless if there is equivalent other smart people. And "kuwa pembeni ya JK, kushiriki vikao, kuonana na viongozi wengine wa kimataifa etc" are one of the experience that I expect my President to actually have.
Hahaha huyo bosi wake [JK] wakati waziri wa mambo ya nje alikuwa anakutana na viongozi wa kimataifa kwa miaka kumi na kashiriki vikao vingi vya nje na ndani ya nchi lakini mpaka leo hajui kwa nini raia wengi wa Tanzania ni maskini.
Toeni facts wacheni mambo ya sijui akipikwa sijui akifanya nini, mtu yoyote mwenye nia akipikwa na kuandaliwa vyema anaweza kuwa kiongozi mzuri.