MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 843
I know eh!, soo bizzare!
Tena your name & Kelly's came up in the JF superlady thread. Someone was asking why you two are not up for nomination.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I know eh!, soo bizzare!
Tena your name & Kelly's came up in the JF superlady thread. Someone was asking why you two are not up for nomination.
lol sijaona cha zaidi ya picha......kama ni picha tu mkuu tunazo tuko na papa john paul na wengine wengi.....sijaona cha zaidi labda utauambie alipooongea na thabo mbeki aliongea nini? maana wewe ni contributer mkubwa kule kwenye blog yake.....
Nataka picha ya Mwamvita....
Wewe mambo?
Hey Kui...what it do what it does what da bizness is?
What is it?
Nataka picha ya Mwamvita....
unamaanisha Mwamvita dada'ke jamaa mkuu??hahahahaa
What up....that is
Oh! really? sijaona hiyo...
Mi wataniweza na hili domo kaya langu?
Oh! poa!
Wewe unamtakia nini the, may be-would be... crashe's sister?
Oh nataka kumpigia pande Yo Yo....vipi unaona katulia?
Huyu hapa
![]()
..huyu dogo Makamba akili anazo
We Nanyni Ngabu unataka kuvunja ndoa za watu sasa, huyo Mwamvita si kaoelewa tayari. Namkumbuka enzi zile yuko Shaban Robert then Radio Majira.
Hotuba alizomuandikia rais zinapatikana wapi?
Acha uongo bana kasoma SRSS lini? Maana hata mimi nimepitia hapo na sikuwahi kumtia (no pun intended) machoni hata siku moja...