January Makamba ameacha shida kubwa kwenye nishati ya umeme

January Makamba ameacha shida kubwa kwenye nishati ya umeme

RWANDES

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,788
Reaction score
4,401
Kilio ni kikubwa maeneo mengi ya nchi huyo waziri kiujumla mimi tangu amepewa Wizara ya Nishati sijaona amefanikiwa kwenye chochote zaidi ya kutuacha kwenye giza totoro

Hata huko alipopelekwa kufichwa hakuna atakachofanya ila kwa kuwa utawala wenyewe hauangalii uchapakazi basi maisha lazima yaende hivohivo.

Tangu asubuhi watu tunalia na umeme hadi usiku huu hakuna dalili ya umeme kurudi! kijana huyo mjanjamjanja ametuacha pagumu Naibu waziri mkuu ana kazi ya kufanya tena ikibidi avunje board yote aanze upya kabisa na watendaji wengine hapa tunatafuta mishumaa wenye majenireta yanapiga kelele mji mzima hakuna kusikilizana mtaani hapa.
IMG_20230904_195313_458.jpg
 
Ameharibu kwenye umeme, ameharibu kwenye mafuta. Madudu yake mengine huko kwenye gesi ndio hata bado hatujayajua.

Halafu mamlaka ya uteuzi inamfichia aibu kwa mkuzawadia wizara ya mambo ya nje. Nchi hii shida sana, kazi kubeba watoto wa maswahiba na kulipana fadhila.
 
Ameharibu kwenye umeme, ameharibu kwenye mafuta. Madudu yale mengine huko kwenye gesi ndio hata bado hatujayajua.

Alafu mamlaka ya uteuzi inamfichia aibu kwa mkuzawadia wizara ya mambo ya nje. Nci hii shida sana, kazi kubeba watoto wa maswahiba na kipana fadhila.
Ni diplomat #4 nchini just after the President, VP, and PM. Ni sura ya nchi kimataifa.
 
Kilio ni kikubwa maeneo mengi ya nchi huyo waziri kiujumla mimi tangu ameoewa wizara ya nishati sijaona amefanikiwa kwenye chochote zaidi ya kutuacha kwenye giza totor...
Hapo ni pande zp mkuu.
 
Mtoto pendwa ameacha kilio kikubwa wizara ya nishati
 
Hebu andika neno makamba linamaanisha nini kwenye kilugha chako
 
umeme+ mafuta[emoji15][emoji15][emoji15][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

 
Kilio ni kikubwa maeneo mengi ya nchi huyo waziri kiujumla mimi tangu ameoewa wizara ya nishati sijaona amefanikiwa kwenye chochote zaidi ya kutuacha kwenye giza totor...
Tulisema sana lkn mama SAMIA amechukua muda mrefu sana kuelewa kwamba January Makamba ni kilaza na uwezo wake ni sifuri,anachojua January Makamba ni mipasho tu.
 
Tunaposema tunawahuniii hamuelewi
 

Attachments

  • Screenshot_2023-09-04-20-49-24-502_com.mi.globalbrowser.jpg
    Screenshot_2023-09-04-20-49-24-502_com.mi.globalbrowser.jpg
    132.7 KB · Views: 2
Tulisema sana lkn mama SAMIA amechukua muda mrefu sana kuelewa kwamba January Makamba ni kilaza na uwezo wake ni sifuri,anachojua January Makamba ni mipasho tu.
Haisaidii.. Makamba anazidi kupaishwa
 
Back
Top Bottom