FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Kaacha shimo, itachukua muda kulifukia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh hivi wewe unafikiri kwa kutumia makalio.Yaani ukimeona mdada mjamzito leo unafikiri kabeba mimba leo leo.Kiko wapi!! Kiko wapi??
Tutalala giza sana tu
Aisee huu nao ni uzi? Au kambaKiko wapi!! Kiko wapi??
Tutalala giza sana tu
Kwani hawakusalia,chawa na kunguni, wake kwani popote kwenye malazi chawa na kunguni hawakosi,hasa palipo na malazi na makazi machafu.😂😂🤔Kiko wapi!! Kiko wapi??
Tutalala giza sana tu
Inaweza ikawa ni chain na sio kamba.🤔Aisee huu nao ni uzi? Au kamba
Mkuu, watu huwa wanajitoa ufahamu.Kiko wapi!! Kiko wapi??
Tutalala giza sana tu
Kwa hoo kabla ya makamba umeme ulikuwa haukatiki ? Binadamu mtu mweusi huwa anakumbukumbu ndogo sana na ndio mashaka ya kuwa mtu kamili yanapoanzia. U Gorilla utatutoka line ?Duh hivi wewe unafikiri kwa kutumia makalio.Yaani ukimeona mdada mjamzito leo unafikiri kabeba mimba leo leo.
Kaacha legacy gan? Ni vzr muelewa tu Nchi hii haijawah kua na umeme wa uhakika na matatizo ni kila mara! Binafs siamin kwamba makamba ndie kasababisha hili tatizo la umeme!! Nakuhakikishia hata bwawa likianza uzalishaj umeme utakua ni changamoto tu!!Mbona unafikiria kwa kutumia matacall? Kinachoendelea ni legacy yake. Kwa damage yote aliyoifanya uliexpect akiondoka ndo vitu virudi tu vile vile? Acha ungumbaru
Haya toa time frame maana mkishatengeneza fitina mkafanikiwa mnaanzisha sababu na visingizio pale mnapoona bado mambo ni hovyoo.Mbona unafikiria kwa kutumia matacall? Kinachoendelea ni legacy yake. Kwa damage yote aliyoifanya uliexpect akiondoka ndo vitu virudi tu vile vile? Acha ungumbaru
Kiko wapi????Duh hivi wewe unafikiri kwa kutumia makalio.Yaani ukimeona mdada mjamzito leo unafikiri kabeba mimba leo leo.
Yeye ndo aliyeiharibu wizara na tanescoKiko wapi!! Kiko wapi??
Tutalala giza sana tu
Hizi imani zitatusumbua sana,nimshauri waziri mpya tanesco inahitaji oil mpya Kuna mkuu hapo suala la kukosa umeme kwake siyo tatizo Sasa hivi ana waandaa watz ataanzisha mgao hivi karibuni,kifupi CEO aliyepo hatufai, waziri tafuta CEO mwingine maharage hatafuti namna ya kuepusha mgao yupo kuandaa watu kisaikologia.Kaacha legacy gan? Ni vzr muelewa tu Nchi hii haijawah kua na umeme wa uhakika na matatizo ni kila mara! Binafs siamin kwamba makamba ndie kasababisha hili tatizo la umeme!! Nakuhakikishia hata bwawa likianza uzalishaj umeme utakua ni changamoto tu!!
Ni lini nchi hii ilikaa bila mgao . Hivi mbona mnakuwa wasahaulifu sana!!! Ni waziri yupi au CEO yupi aliwahi kufanikisha suala la umeme nchiniHizi imani zitatusumbua sana,nimshauri waziri mpya tanesco inahitaji oil mpya Kuna mkuu hapo suala la kukosa umeme kwake siyo tatizo Sasa hivi ana waandaa watz ataanzisha mgao hivi karibuni,kifupi CEO aliyepo hatufai, waziri tafuta CEO mwingine maharage hatafuti namna ya kuepusha mgao yupo kuandaa watu kisaikologia.
Kabla yake je, uneme ulikuwa stableYeye ndo aliyeiharibu wizara na tanesco
Watazamwe sana mule ndani, kuna "sabotage" ya hali ya juu.
Kinyerezi l, ll, lll, lV yote haifanyi kazi?
Afute ule mkataba wa kihindi wa software hizo billions wapewe Tanesco uone kama utakatika!Tutalala giza sana tu