January Makamba ameonyesha uthabiti kusimamia maslahi ya Tanzania nje ya nchi, mfano mzuri ni suala la ATCL kuzuiwa biashara Kenya

January Makamba ameonyesha uthabiti kusimamia maslahi ya Tanzania nje ya nchi, mfano mzuri ni suala la ATCL kuzuiwa biashara Kenya

Upele umepata mkunaji. Hakika kwa sasa diplomasia ya Tanzania iko imara, hakuna mtu atatuchezea abaki salama.

Hii yote kazi ya nani? Waziri wa Mambo ya Nje, January Makamba. Tulitaka kuchezewa na wakenya kwa kujifanya wao bora sana na kuwekea vikwazo biashara ya ATCL halafu wao wanataka wapepee juu ya anga letu kama wanavyotaka.

Malawi walipiga ban mahindi yetu, wamekutana na jambo lao.

Hakika Tanzania hatuishi kinyonge.

Kongole January Makamba, Tanzania imara chini ya Samia.

==
Pia soma: Tanzania yazuia ndege za Kenya Airways kutua nchini. Ni baada ya Kenya kutoruhusu ndege za Tanzania kubeba mizigo Kenya

Alichosema January Makamba: Kenya na Tanzania kusuluhisha Mzozo wa Safari za Ndege ndani ya Siku 3
Hana jema lolote alilowatendea watanzania zaidi ya mateso
 
Chawa bhana!

Hizi drama za majirani hazijaanza leo na mara zote tumekuwa tukipiga mshono hivi!

Anajitafutia shibe bila kujali mateso tunayopata watanzania kwenye umeme
 
Wanaokutana ni mawaziri wa mambo ya nje, sio wa uchukuzi, tumia akili, kichwa chako usikifanye mzigo
Sijaongelea kukutana ambayo ni matokeo ya zuio. Naongelea Maamuzi ya kuzuia mambo ya kiuchukuzi ni jambo la waziri wa ushirikiano? Kwamba waziri wa uchukuzi alikaa pembeni tu akaacha Januaru aamue kwa ajiki yake kuzuia ndege za Kenya?
 
Upele umepata mkunaji. Hakika kwa sasa diplomasia ya Tanzania iko imara, hakuna mtu atatuchezea abaki salama.

Hii yote kazi ya nani? Waziri wa Mambo ya Nje, January Makamba. Tulitaka kuchezewa na wakenya kwa kujifanya wao bora sana na kuwekea vikwazo biashara ya ATCL halafu wao wanataka wapepee juu ya anga letu kama wanavyotaka.

Malawi walipiga ban mahindi yetu, wamekutana na jambo lao.

Hakika Tanzania hatuishi kinyonge.

Kongole January Makamba, Tanzania imara chini ya Samia.

==
Pia soma: Tanzania yazuia ndege za Kenya Airways kutua nchini. Ni baada ya Kenya kutoruhusu ndege za Tanzania kubeba mizigo Kenya

Alichosema January Makamba: Kenya na Tanzania kusuluhisha Mzozo wa Safari za Ndege ndani ya Siku 3
Ila aliniangusha Kwa wale bvijana waliouwawa na Hammas.
 
Sijaongelea kukutana ambayo ni matokeo ya zuio. Naongelea Maamuzi ya kuzuia mambo ya kiuchukuzi ni jambo la waziri wa ushirikiano? Kwamba waziri wa uchukuzi alikaa pembeni tu akaacha Januaru aamue kwa ajiki yake kuzuia ndege za Kenya?
Kama ulinusurika kwenye vyeti feki, basi uchawi upo
 
Upele umepata mkunaji. Hakika kwa sasa diplomasia ya Tanzania iko imara, hakuna mtu atatuchezea abaki salama.

Hii yote kazi ya nani? Waziri wa Mambo ya Nje, January Makamba. Tulitaka kuchezewa na wakenya kwa kujifanya wao bora sana na kuwekea vikwazo biashara ya ATCL halafu wao wanataka wapepee juu ya anga letu kama wanavyotaka.

Malawi walipiga ban mahindi yetu, wamekutana na jambo lao.

Hakika Tanzania hatuishi kinyonge.

Kongole January Makamba, Tanzania imara chini ya Samia.

==
Pia soma: Tanzania yazuia ndege za Kenya Airways kutua nchini. Ni baada ya Kenya kutoruhusu ndege za Tanzania kubeba mizigo Kenya

Alichosema January Makamba: Kenya na Tanzania kusuluhisha Mzozo wa Safari za Ndege ndani ya Siku 3
Acha kusifua ujinga, Wakenya kuna Figusi nyingi wanaifangia Tanzania, na shida tumrkaa kizezeta sana
 
Makonda karudi sasa naona hata bundle kwako siyo issue tena

Acha kunionea wivu.. lini sijakuwemo.huku muda mrefu!!! Pokea 💉💉💉😅😅😅

Bado nasubiri nikutane nae siku moja...tena kwa sasa na Rai's wetu Mwanamke nae nikuone USO kwa uso nimsalimie.. sio kumuona akipita area kila mara..
 
Back
Top Bottom