January Makamba amewekwa kwenye mtego, aliyoyakataa sasa anaenda kuyasimamia

January Makamba amewekwa kwenye mtego, aliyoyakataa sasa anaenda kuyasimamia

Na wewe kweli unaamini alikuwa anapinga kweli? Acha kuokota maneno mitaani na kufanya kama data, Makamba alitolewa uwaziri sababu ya issue ya mifuko.
 
The comeback Kid...
Ashindwe yeye sasa, upewe nini tena zaidi ya kujenga jina na kuonyesha umahiri?!
Kazi kwake Mh J Makamba..
Umahiri gani zaidi ya kupiga dili kufunika mashimo yaliyosababishwa na JPM katika camp yao, sasa ndio wakati wa dili kufumuka.
 
Na wewe kweli unaamini alikuwa anapinga kweli? Acha kuokota maneno mitaani na kufanya kama data, Makamba alitolewa uwaziri sababu ya issue ya mifuko.
Labda pia na ile issue ya Makamba senior, Nape, na Msomali, waliporekediwa...
 
“Inasemekana”
Ila huna uhakika na haya
Je baada ya hapo aliendeleza kampeni za kuukataa mradi huo?

Kama limefika % zaidi ya nusu ni fedha na nguvu nyingi zimetumika
Sasa yeye nani eti ausimamishe
Tuwe tunatumia akili za ziada kidogo
 
“Inasemekana”
Ila huna uhakika na haya
Je baada ya hapo aliendeleza kampeni za kuukataa mradi huo?

Kama limefika % zaidi ya nusu ni fedha na nguvu nyingi zimetumika
Sasa yeye nani eti ausimamishe
Tuwe tunatumia akili za ziada kidogo
Ndiyo hapo sasa
 
Kuwa na fikra tofauti sio dhambi mwisho wasiku mawazo yawengi yakishinda mnasimamia hayo hatakama uliwaza tofauti awali!!
 
Mbunge wa Bumbuli January Makamba alikuwa Waziri wa Mazingira katika serikali ya awamu ya 5 kwa miaka minne mpaka alipotenguliwa mwaka 2019.

Inasemekana January Makamba kwa kuwa alikuwa Waziri wa Mazingira kwa hiyo kimya kimya alikuwa anapinga mradi wa Bwawa la Nyerere kuwa eti utasababisha ukataji wa miti na hivyo kupelekea uharibifu wa mazingira nchini.

Leo ameteuliwa kuwa Waziri wa Nishati huku Bwawa la Nyerere litakalozalisha zaidi ya megawatt 2115 likiwa limefikia 52% ya utekelezaji wake na tarehe 15/11/2021 litaanza kujazwa maji rasmi.

Je, January Makamba ataenda kumalizia ujenzi wa hili bwawa au ataenda kufutilia mbali ujenzi wake iki kuokoa mazingira kama msimamo wake ulivyo tangu zamani?

Yetu macho na masikio.
January amewekewa mtengo ajimalize mwenyewe
 
Ukisikia "Mchawi mpe mwanao amlee," ndiyo hiyo.
Rais SSH amewatahadharisha mawaziri wote wachape kazi,hataki kusikia nahau au hadithi za Alifu Lela.
Atatumia kalamu kuwaondoa watakao shindwa kutatua matatizo ya wananchi.
Mh Waziri Makamba,tunategemea kushuka kwa gharama za umeme kwa unit moja, (Mradi wa bwala la Mwalimu Nyerere utakapozinduliwa November 2021).
Bei ya umeme ikiwa nafuu, itachochea uanzishwaji wa viwanda vidogo vidogo vijijini.
 
Mbunge wa Bumbuli January Makamba alikuwa Waziri wa Mazingira katika serikali ya awamu ya 5 kwa miaka minne mpaka alipotenguliwa mwaka 2019.

Inasemekana January Makamba kwa kuwa alikuwa Waziri wa Mazingira kwa hiyo kimya kimya alikuwa anapinga mradi wa Bwawa la Nyerere kuwa eti utasababisha ukataji wa miti na hivyo kupelekea uharibifu wa mazingira nchini.

Leo ameteuliwa kuwa Waziri wa Nishati huku Bwawa la Nyerere litakalozalisha zaidi ya megawatt 2115 likiwa limefikia 52% ya utekelezaji wake na tarehe 15/11/2021 litaanza kujazwa maji rasmi.

Je, January Makamba ataenda kumalizia ujenzi wa hili bwawa au ataenda kufutilia mbali ujenzi wake iki kuokoa mazingira kama msimamo wake ulivyo tangu zamani?

Yetu macho na masikio.

Mkuuu Siasa Ni mchezo Hatari sana. Ukidhani umeelewa Kumbe ndo the opposite is true. SSH anaweza Pia akawa upande mmoja anamtoa kwenye kinyang‘anyiro cha Urais kijanja, au kwa upande mwingine katika logic hiyo hiyo anamwandaa kwa ajili ya kampeni za Urais. Na Hapo Nape ndo anakuwa njiani wizara ya michezo na sanaa na utamaduni. Ukiwa umeshiba ndo Uje hapa piga maneno then tunarudi kwa wake zetu kwa kazi mbadala.
 
Unatunga uongo wako na kusema inasemekana alafu unauliza swali Kama atamalizia mradi?

Danganyaneni huko huko chato kwenu. January hajawai pinga mradi wa Bwawa la Nyerere. Acha kusema uongo
Ulikuwa mtoto mdogo utajuaje hayo ni ya watu waliokutangulia
 
Back
Top Bottom