January Makamba amewekwa kwenye mtego, aliyoyakataa sasa anaenda kuyasimamia

Hayo ya kupinga matumizi ya hilo bwawa ni mtazamo wake binafsi.
Mjinga sana mleta mada. Anashindwa kutofautisha msimamo wa serikali na msimamo au maoni binafsi. Serikali, taasisi au umma ukishaamua kufanya jambo hata kama kiongozi fulani hapendezeshwi na hilo jambo hana budi kulifanya kwa ajili ya wengine.

January ameapa kufanya kazi kwa kufuata sheria na katiba ya nchi na hajaapa kufuata maoni na mawazo yake binafsi.
 
Waziri tu afutilie mbali ujenzi wa mradi mkubwa kama huo tena ukiwa 50%!!😁.

Sema joto la urais ndiyo litachemka zaidi.
 
Hivi ni nini kimefichwa kuhusu ges na uchumi wa ges.?
 
Linapokuja suala la kukaa madarakani, CCM hii ipo radhi kutamka bila aibu kuwa "mavi ni chakula". Na wakati mwingine kuyala mavi kabisa.

Mnisamehe kwa kuongea Kisukuma!
 
Linapokuja suala la kukaa madarakani, CCM hii ipo radhi kutamka bila aibu kuwa "mavi ni chakula". Na wakati mwingine kuyala mavi kabisa.

Mnisamehe kwa kuongea Kisukuma!
Kama mbowe tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…