January Makamba anafaa kugombea Urais 2030

Ni kichaa tu anayeweza kusema kwamba huyu anafaa kugombea urais
 
Kipi kikubwa alichowahi fanya zaid ya porojo tu
 
utageuza Taifa hili la wapiga dili promax ...kati ya watu wanaomwangusha Raisi huyu ni number one hakuna mwingine .....marushwa yote hayo tanesco...
 
Labda tuambie vitu viwili alivyofanya huku mbwa wako ambavyo vinaweza kuonesha kuwa alipoingia katika wiraza fulani alionesha mabadiliko.


Kama kuna vijana wa ovyo basi ni huyu.
 
Tunaenda na Daktari Msukuma 2030
 
Rais mwizi wa mitihani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…