ukweli huu utadumu milele!Katika report ile pandekezo yalikuwa ni kutojenga lile bwawa kwa sasa litaharibu Ecosystem.
Wewe ulitaka ajiskiaje? Upumbavu utawaisha lini nyie watu?Ama kweli mchawi mpe mtoto akulelee.
Hapo mwanz0oJ Makamba akiwa kwenye mazingira alikuwa kwenye jopo la kuandaa report Uharibifu wa mazingira ya bonde la mto rufiji ambako bwawa la Umeme la Nyerere linajengwa.
Katika report ile pandekezo yalikuwa ni kutojenga lile bwawa kwa sasa litaharibu Ecosystem.
Sasa kapewa asimamie lile bwawa akiwa kama waziri wa Nishati.
Bahati nzuri tu ni kwamba hata UNESCO walishaamua lijengwa baadaya mvutano mkubwa sana ikiwemo kupigiwa kura kwamba lile bonde liondolewe kwenye urithi wa dunia. Wakati wa kupiga kura wengi waliamua lisiondolewe.
January anaweza asilihujumu kweli?
Achana kabisa na wanasiasa noma sanaAma kweli mchawi mpe mtoto akulelee.
Hapo mwanz0oJ Makamba akiwa kwenye mazingira alikuwa kwenye jopo la kuandaa report Uharibifu wa mazingira ya bonde la mto rufiji ambako bwawa la Umeme la Nyerere linajengwa.
Katika report ile pandekezo yalikuwa ni kutojenga lile bwawa kwa sasa litaharibu Ecosystem.
Sasa kapewa asimamie lile bwawa akiwa kama waziri wa Nishati.
Bahati nzuri tu ni kwamba hata UNESCO walishaamua lijengwa baadaya mvutano mkubwa sana ikiwemo kupigiwa kura kwamba lile bonde liondolewe kwenye urithi wa dunia. Wakati wa kupiga kura wengi waliamua lisiondolewe.
January anaweza asilihujumu kweli?
Sasa mtu type ya Makamba utamchaguaje siku moja aje kuwa Rais wa Nchi?Mbona wengine walihubiri Chanjo hazifai hadi wakatoka na mapovu, leo ndiyo wahamashishaji wakuu ili tukachanje.. hao nao waingine kwenye bandiko lako ili u-balance story.
Upepo wa kisiasa hubadilika ghafla hasa ukiwa ndani ya CCM. Kwa mfano ukiambiwa utaje vijana watano ndani ya CCM ambao ni presidential material Makamba huwezi kumwacha kabisa.Sasa mtu type ya Makamba utamchaguaje siku moja aje kuwa Rais wa Nchi?
Mtu ambaye Hana msimamo
Kosa la mtu mmoja haliwezi kuhalalisha la mwingine.
Swali langu liko wazi kabisa.Kujenga sio kwamba "amekubaliana" na uharibifu huo wa mazingira
Yeye kama yeye mwanadamu hapendi huo uharibifu,ila demokrasia imekaa wengi wamepitisha,yeye upande wake haukushinda,hivyo lazima aache maamuzi ya walioshinda yafanyike
Democratic process imefanyika,wengi wameshinda,yeye hana namna lazima afuate hayo maamuzi,na kuyafuata sio kwamba anakubaliana nayo yeye binafsi
Hebu jielewe basi
SIHASA.....wanasiasa siyo watu wa kuwatilia maanani....anaweza akasema mlimnukuu vibayaAma kweli mchawi mpe mtoto akulelee.
Hapo mwanzoJ Makamba akiwa kwenye mazingira alikuwa kwenye jopo la kuandaa report Uharibifu wa mazingira ya bonde la mto rufiji ambako bwawa la Umeme la Nyerere linajengwa.
Katika report ile pandekezo yalikuwa ni kutojenga lile bwawa kwa sasa litaharibu Ecosystem.
Sasa kapewa asimamie lile bwawa akiwa kama waziri wa Nishati.
Bahati nzuri tu ni kwamba hata UNESCO walishaamua lijengwa baadaya mvutano mkubwa sana ikiwemo kupigiwa kura kwamba lile bonde liondolewe kwenye urithi wa dunia. Wakati wa kupiga kura wengi waliamua lisiondolewe.
January anaweza asilihujumu kweli?
💔Kwa hiyo unafiki Ni Hadi yetu!Mbona wengine walihubiri Chanjo hazifai hadi wakatoka na mapovu, leo ndiyo wahamashishaji wakuu ili tukachanje.. hao nao waingine kwenye bandiko lako ili u-balance story.
Ama kweli mchawi mpe mtoto akulelee.
Hapo mwanzoJ Makamba akiwa kwenye mazingira alikuwa kwenye jopo la kuandaa report Uharibifu wa mazingira ya bonde la mto rufiji ambako bwawa la Umeme la Nyerere linajengwa.
Katika report ile pandekezo yalikuwa ni kutojenga lile bwawa kwa sasa litaharibu Ecosystem.
Sasa kapewa asimamie lile bwawa akiwa kama waziri wa Nishati.
Bahati nzuri tu ni kwamba hata UNESCO walishaamua lijengwa baadaya mvutano mkubwa sana ikiwemo kupigiwa kura kwamba lile bonde liondolewe kwenye urithi wa dunia. Wakati wa kupiga kura wengi waliamua lisiondolewe.
January anaweza asilihujumu kweli?
Pumbavu mma yko!Wewe ulitaka ajiskiaje? Upumbavu utawaisha lini nyie watu?
Ficha upumbafu wako basi, unasubilia UNESCO wakuamulie cha kufanya. Poor boy!Lini UNESCO waliamua lijengwe?