Barua feki...Iweje mhusika ashindwe kuandika jina lake kwa usahihi mara mbili kama katika hii barua hii.....Jina hapa ni "Jaruary" badala ya "January".....
Authenticity ya kipeperushi huwa inakuwa verified namna gani? How will you know kwamba hiki ni kipeperushi fake ama ni genuine? Kwanini watu tusiamini kwamba kukosea kuandika jina inaweza kuwa imewekwa purposely ili kujenga hoja kwamba kimeandaliwa na wapinzani wake?
Kama Jeshi la Polisi lingekuwa linaaminika, wangeanzia kwenye hiyo namba iliyowekwa hapo ili watu wakapate kadi za bure and from there wangejua nani anaendesha hizo kampeni. Lakini Jeshi letu la Polisi na TAKUKURU, hawana ujasiri wa kuchunguza na wakifanikiwa kuchunguza na wakagundua kwamba ni mtoto wa Makamba kweli, wataishia kusema stori nyingine za ajabu ajabu ili kufunika ukweli.