Fumadilu Kalimanzila
JF-Expert Member
- Dec 10, 2016
- 1,770
- 5,423
Ndugu zangu Watanzania penye ukweli lazima tuseme hii Nchi ni yetu sote si ya watu fulani tu na siyo kwamba wengine wamekuwa Watanzania by default!
Nimeona nitoe mtazamo wangu ambao ninao kuhusu huu uteuzi wa January Makamba ktk Bodi ya TANESCO.
Kwanza Watanzania tukumbuke kuwa Wizara ya Nishati ndiyo imekuwa "Cash Cow" ya wapigaji/mafisadi kwa miongo kama miwili hivi!
Skendo zote kubwa kama Richmond,Dowans,Escrow n.k ni hapa.
Hata Rais Samia nadhani "ameshauriwa" vibaya sana kumtoa aliyekuwa DG wa TANESCO Dr.Tito Mwinuka na kumuweka Maharage Chande!
Rais Samia na January Makamba muda wote watambue kuwa suala la Umeme kwa Watanzania ni nyeti sana na si sawa na usambazaji wa visimbuzi vya Multichoice alivyokuwa akifanya Maharage Chande!
January Makamba amesukumwa zaidi na urafiki na "malengo yake ya baadaye" katika uteuzi huu!
Nehemiah Mchechu alipata tuhuma kubwa sana (tena toka kwa Rais Magufuli) kwa kujipa tenda za NHC) kupitia kampuni zake akiwa yeye DG pale! Amejisafisha lini na wapi?!
Balozi Maajar, huyu mama ndo aliwakilisha(kupitia kampuni yao Rex Attorneys) "wapigaji" wa TANESCO katika kesi za kimataifa!
January umeweka kwenye Bodi wafanyabiashara wakubwa ambao hawawezi kuwa think tank wa Nishati kwa Taifa hili!
TANESCO sasa inaongozwa na "Watuhumiwa" kuanzia Waziri January Makamba hadi wajumbe wa Bodi.
Hapa sio siri January Makamba umeonyesha uwezo mdogo wa uongozi unaofichwa na ambao wengi hawataki kuusikia!
January Makamba tunakutaka utengue mara moja hii Bodi yako ya hovyo na uunde Bodi madhubuti kwa maslahi ya Taifa hili na si kwa maslahi yenu wachache na "wapigaji" wenu!
Pia mshauri Rais Samia atafute DG anayeweza kum_ replace Dr.Tito Mwinuka kama issue ilikuwa ni kumtoa pale.
Vinginevyo January Makamba JIUZULU kwani hii Nchi ni ya Wananchi wote na si ya Viongozi pekee!
Na kama hii ndiyo strategy yako kwa "malengo ya baadaye" utafeli " big time"!
Soma pia:
1) Balozi Maajar kuwa mjumbe wa bodi Tanesco kuna walakini, tumesahau ya Dowans?
2) Profesa Shivji ashangazwa na uteuzi wa wafanyabiashara kwenye uongozi wa TANESCO
3) Waziri Makamba, Uteuzi wako wa Mama Maajar kuwa mjumbe wa bodi ya TANESCO una mgongano wa maslahi
4) TANESCO inarudi mikononi mwa mafisadi?
5) Waziri Makamba ameanza rasmi project alizotumwa TANESCO
Nimeona nitoe mtazamo wangu ambao ninao kuhusu huu uteuzi wa January Makamba ktk Bodi ya TANESCO.
Kwanza Watanzania tukumbuke kuwa Wizara ya Nishati ndiyo imekuwa "Cash Cow" ya wapigaji/mafisadi kwa miongo kama miwili hivi!
Skendo zote kubwa kama Richmond,Dowans,Escrow n.k ni hapa.
Hata Rais Samia nadhani "ameshauriwa" vibaya sana kumtoa aliyekuwa DG wa TANESCO Dr.Tito Mwinuka na kumuweka Maharage Chande!
Rais Samia na January Makamba muda wote watambue kuwa suala la Umeme kwa Watanzania ni nyeti sana na si sawa na usambazaji wa visimbuzi vya Multichoice alivyokuwa akifanya Maharage Chande!
January Makamba amesukumwa zaidi na urafiki na "malengo yake ya baadaye" katika uteuzi huu!
Nehemiah Mchechu alipata tuhuma kubwa sana (tena toka kwa Rais Magufuli) kwa kujipa tenda za NHC) kupitia kampuni zake akiwa yeye DG pale! Amejisafisha lini na wapi?!
Balozi Maajar, huyu mama ndo aliwakilisha(kupitia kampuni yao Rex Attorneys) "wapigaji" wa TANESCO katika kesi za kimataifa!
January umeweka kwenye Bodi wafanyabiashara wakubwa ambao hawawezi kuwa think tank wa Nishati kwa Taifa hili!
TANESCO sasa inaongozwa na "Watuhumiwa" kuanzia Waziri January Makamba hadi wajumbe wa Bodi.
Hapa sio siri January Makamba umeonyesha uwezo mdogo wa uongozi unaofichwa na ambao wengi hawataki kuusikia!
January Makamba tunakutaka utengue mara moja hii Bodi yako ya hovyo na uunde Bodi madhubuti kwa maslahi ya Taifa hili na si kwa maslahi yenu wachache na "wapigaji" wenu!
Pia mshauri Rais Samia atafute DG anayeweza kum_ replace Dr.Tito Mwinuka kama issue ilikuwa ni kumtoa pale.
Vinginevyo January Makamba JIUZULU kwani hii Nchi ni ya Wananchi wote na si ya Viongozi pekee!
Na kama hii ndiyo strategy yako kwa "malengo ya baadaye" utafeli " big time"!
Soma pia:
1) Balozi Maajar kuwa mjumbe wa bodi Tanesco kuna walakini, tumesahau ya Dowans?
2) Profesa Shivji ashangazwa na uteuzi wa wafanyabiashara kwenye uongozi wa TANESCO
3) Waziri Makamba, Uteuzi wako wa Mama Maajar kuwa mjumbe wa bodi ya TANESCO una mgongano wa maslahi
4) TANESCO inarudi mikononi mwa mafisadi?
5) Waziri Makamba ameanza rasmi project alizotumwa TANESCO