January Makamba hili la Uteuzi wa Bodi ya TANESCO limekufunua mapema sana!!!

January Makamba hili la Uteuzi wa Bodi ya TANESCO limekufunua mapema sana!!!

Fumadilu Kalimanzila

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2016
Posts
1,770
Reaction score
5,423
Ndugu zangu Watanzania penye ukweli lazima tuseme hii Nchi ni yetu sote si ya watu fulani tu na siyo kwamba wengine wamekuwa Watanzania by default!

Nimeona nitoe mtazamo wangu ambao ninao kuhusu huu uteuzi wa January Makamba ktk Bodi ya TANESCO.

Kwanza Watanzania tukumbuke kuwa Wizara ya Nishati ndiyo imekuwa "Cash Cow" ya wapigaji/mafisadi kwa miongo kama miwili hivi!

Skendo zote kubwa kama Richmond,Dowans,Escrow n.k ni hapa.

Hata Rais Samia nadhani "ameshauriwa" vibaya sana kumtoa aliyekuwa DG wa TANESCO Dr.Tito Mwinuka na kumuweka Maharage Chande!

Rais Samia na January Makamba muda wote watambue kuwa suala la Umeme kwa Watanzania ni nyeti sana na si sawa na usambazaji wa visimbuzi vya Multichoice alivyokuwa akifanya Maharage Chande!

January Makamba amesukumwa zaidi na urafiki na "malengo yake ya baadaye" katika uteuzi huu!

Nehemiah Mchechu alipata tuhuma kubwa sana (tena toka kwa Rais Magufuli) kwa kujipa tenda za NHC) kupitia kampuni zake akiwa yeye DG pale! Amejisafisha lini na wapi?!

Balozi Maajar, huyu mama ndo aliwakilisha(kupitia kampuni yao Rex Attorneys) "wapigaji" wa TANESCO katika kesi za kimataifa!

January umeweka kwenye Bodi wafanyabiashara wakubwa ambao hawawezi kuwa think tank wa Nishati kwa Taifa hili!

TANESCO sasa inaongozwa na "Watuhumiwa" kuanzia Waziri January Makamba hadi wajumbe wa Bodi.

Hapa sio siri January Makamba umeonyesha uwezo mdogo wa uongozi unaofichwa na ambao wengi hawataki kuusikia!

January Makamba tunakutaka utengue mara moja hii Bodi yako ya hovyo na uunde Bodi madhubuti kwa maslahi ya Taifa hili na si kwa maslahi yenu wachache na "wapigaji" wenu!

Pia mshauri Rais Samia atafute DG anayeweza kum_ replace Dr.Tito Mwinuka kama issue ilikuwa ni kumtoa pale.
Vinginevyo January Makamba JIUZULU kwani hii Nchi ni ya Wananchi wote na si ya Viongozi pekee!

Na kama hii ndiyo strategy yako kwa "malengo ya baadaye" utafeli " big time"!

Soma pia:

1) Balozi Maajar kuwa mjumbe wa bodi Tanesco kuna walakini, tumesahau ya Dowans?

2) Profesa Shivji ashangazwa na uteuzi wa wafanyabiashara kwenye uongozi wa TANESCO

3) Waziri Makamba, Uteuzi wako wa Mama Maajar kuwa mjumbe wa bodi ya TANESCO una mgongano wa maslahi

4) TANESCO inarudi mikononi mwa mafisadi?

5) Waziri Makamba ameanza rasmi project alizotumwa TANESCO
 
Kama kuwa na tuhuma tu ndo kigezo cha kujiuzuru Mbona Magufuli alikuwa na tuhuma ya kuuza nyumba za Serikali hadi Kwa hawara yake na akawa Rais na ukamuunga mkono humu??

Chuki zako na uzandiki wako dhidi ya January usiuhalalishe kwa cheap politics!

Kama una ushahidi dhidi ya hao kwa nini hujawai peleka polisi Au pccb ikiwemo kipindi cha mungu wako Magufuli?

Pelekeni ujinga wenu kwenu chato
Ndugu zangu Watanzania penye ukweli lazima tuseme hii Nchi ni yetu sote si ya watu fulani tu na siyo kwamba wengine wamekuwa Watanzania by default!

Nimeona nitoe mtazamo wangu ambao ninao kuhusu huu uteuzi wa January Makamba ktk Bodi ya TANESCO.

Kwanza Watanzania tukumbuke kuwa Wizara ya Nishati ndiyo imekuwa "Cash Cow" ya wapigaji/mafisadi kwa miongo kama miwili hivi!

Skendo zote kubwa kama Richmond,Dowans,Escrow n.k ni hapa.

Hata Rais Samia nadhani "ameshauriwa" vibaya sana kumtoa aliyekuwa DG wa TANESCO Dr.Tito Mwinuka na kumuweka Maharage Chande!

Rais Samia na January Makamba muda wote watambue kuwa suala la Umeme kwa Watanzania ni nyeti sana na si sawa na usambazaji wa visimbuzi vya Multichoice alivyokuwa akifanya Maharage Chande!

January Makamba amesukumwa zaidi na urafiki na "malengo yake ya baadaye" katika uteuzi huu!

Nehemiah Mchechu alipata tuhuma kubwa sana (tena toka kwa Rais Magufuli) kwa kujipa tenda za NHC) kupitia kampuni zake akiwa yeye DG pale! Amejisafisha lini na wapi?!

Balozi Maajar, huyu mama ndo aliwakilisha(kupitia kampuni yao Rex Attorneys) "wapigaji" wa TANESCO katika kesi za kimataifa!

January umeweka kwenye Bodi wafanyabiashara wakubwa ambao hawawezi kuwa think tank wa Nishati kwa Taifa hili!

TANESCO sasa inaongozwa na "Watuhumiwa" kuanzia Waziri January Makamba hadi wajumbe wa Bodi.

Hapa sio siri January Makamba umeonyesha uwezo mdogo wa uongozi unaofichwa na ambao wengi hawataki kuusikia!

January Makamba tunakutaka utengue mara moja hii Bodi yako ya hovyo na uunde Bodi madhubuti kwa maslahi ya Taifa hili na si kwa maslahi yenu wachache na "wapigaji" wenu!

Pia mshauri Rais Samia atafute DG anayeweza kum_ replace Dr.Tito Mwinuka kama issue ilikuwa ni kumtoa pale.
Vinginevyo January Makamba JIUZULU kwani hii Nchi ni ya Wananchi wote na si ya Viongozi pekee!

Na kama hii ndiyo strategy yako kwa "malengo ya baadaye" utafeli " big time"!
 
Huyo gaidi wanamchelewesha tu kama alifikia hatua ya kutapeli familia yake kwa kujimilikisha mali zote za urithi wampige haraka mvua 50
 
Mkuu kwani hatuez kuwapa mda tukaona results
Hii nchi si ya majaribio. Tupo watanzania milioni 60. Hatuwezi kuwa tunaona face zilezile. Tena nyuso za wezi wapiga deal. Huu ni wizi. Tena si miongo miwili ni zaidi ya miongo mitatu. Mikataba ya wizi tanesco imeanza kusainiwa na Kikwete tangu 1994 ya IPTL si kwamba watanzania ni vilaza kiasi hicho aise. Hatutaki wezi.
 
Hii nchi si ya majaribio. Tupo watanzania milioni 60. Hatuwezi kuwa tunaona face zilezile. Tena nyuso za wezi wapiga deal. Huu ni wizi. Tena si miongo miwili ni zaidi ya miongo mitatu. Mikoyan a ya wizi tanesco imeanza kusainiwa na Kikwete tangu 1994 ya IPTL si kwamba watanzania ni vilaza kiasi hicho aise. Hatutaki wezi.
mungu wa chato alikuja na sura mpya,zimefanya nn??
 
Hii nchi si ya majaribio. Tupo watanzania milioni 60. Hatuwezi kuwa tunaona face zilezile. Tena nyuso za wezi wapiga deal. Huu ni wizi. Tena si miongo miwili ni zaidi ya miongo mitatu. Mikataba ya wizi tanesco imeanza kusainiwa na Kikwete tangu 1994 ya IPTL si kwamba watanzania ni vilaza kiasi hicho aise. Hatutaki wezi.
Weka ushahidi wa upigaji wao au Wizi wao hapa
 
Mimi nilishangaa alivosema ilikuwa ngumu Sana kwake kuwashawishi kwani huko walikokuwepo walikuwa wanaliowa zaidi, pia kasema mama alivoona jina tu akasema huyu ndo MD akasaini mkeka wakati hata hamjui.
Mama anatelezeshewa karatasi anaanguka signature, Tanesco ni ngumu mno na pia najua alimwambia jamaa japokua huku mshahara kidogo lakini madili take multuchoise Cha mtoto
 
Mimi nilishangaa alivosema ilikuwa ngumu Sana kwake kuwashawishi kwani huko walikokuwepo walikuwa wanaliowa zaidi, pia kasema mama alivoona jina tu akasema huyu ndo MD akasaini mkeka wakati hata hamjui.
Mama anatelezeshewa karatasi anaanguka signature, Tanesco ni ngumu mno na pia najua alimwambia jamaa japokua huku mshahara kidogo lakini madili take multuchoise Cha mtoto
Weka ushahidi kuwa alimwambia Tanesco Kuna madili ya multichouce cha mtoto
 
Wafanyabiashara wakubwa ndio watumiaji wakubwa wa umeme. We unadhani wapo tayari kuchezea umeme unao waingizia faida? Kuna mfanyabiashara gani anayetaka kutumia jenereta kwenye kiwanda chake?

tuache stori za ujuaji mwingi, mlitaka hao watu wafie kwenye hizo nafasi hapo tanesco?
 
Ndugu zangu Watanzania penye ukweli lazima tuseme hii Nchi ni yetu sote si ya watu fulani tu na siyo kwamba wengine wamekuwa Watanzania by default!

Nimeona nitoe mtazamo wangu ambao ninao kuhusu huu uteuzi wa January Makamba ktk Bodi ya TANESCO.

Kwanza Watanzania tukumbuke kuwa Wizara ya Nishati ndiyo imekuwa "Cash Cow" ya wapigaji/mafisadi kwa miongo kama miwili hivi!

Skendo zote kubwa kama Richmond,Dowans,Escrow n.k ni hapa.

Hata Rais Samia nadhani "ameshauriwa" vibaya sana kumtoa aliyekuwa DG wa TANESCO Dr.Tito Mwinuka na kumuweka Maharage Chande!

Rais Samia na January Makamba muda wote watambue kuwa suala la Umeme kwa Watanzania ni nyeti sana na si sawa na usambazaji wa visimbuzi vya Multichoice alivyokuwa akifanya Maharage Chande!

January Makamba amesukumwa zaidi na urafiki na "malengo yake ya baadaye" katika uteuzi huu!

Nehemiah Mchechu alipata tuhuma kubwa sana (tena toka kwa Rais Magufuli) kwa kujipa tenda za NHC) kupitia kampuni zake akiwa yeye DG pale! Amejisafisha lini na wapi?!

Balozi Maajar, huyu mama ndo aliwakilisha(kupitia kampuni yao Rex Attorneys) "wapigaji" wa TANESCO katika kesi za kimataifa!

January umeweka kwenye Bodi wafanyabiashara wakubwa ambao hawawezi kuwa think tank wa Nishati kwa Taifa hili!

TANESCO sasa inaongozwa na "Watuhumiwa" kuanzia Waziri January Makamba hadi wajumbe wa Bodi.

Hapa sio siri January Makamba umeonyesha uwezo mdogo wa uongozi unaofichwa na ambao wengi hawataki kuusikia!

January Makamba tunakutaka utengue mara moja hii Bodi yako ya hovyo na uunde Bodi madhubuti kwa maslahi ya Taifa hili na si kwa maslahi yenu wachache na "wapigaji" wenu!

Pia mshauri Rais Samia atafute DG anayeweza kum_ replace Dr.Tito Mwinuka kama issue ilikuwa ni kumtoa pale.
Vinginevyo January Makamba JIUZULU kwani hii Nchi ni ya Wananchi wote na si ya Viongozi pekee!

Na kama hii ndiyo strategy yako kwa "malengo ya baadaye" utafeli " big time"!
Mkuu umepiga kwenye target. Kama ni kweli huyu anataka kuwa Rais baada ya kipindi cha Samia, basi hii ndiyo LITMUS paper yake. TANESCO anayoiona kwa kuwasha switch ukutani na mwanga unatoka ni tofauti na TANESCO ya Mtera, Kidatu, Kinyerezi, Hale, Nyumba ya Mungu na Kihansi. I bet ATAFELI tu

Wateule wake wengi wana mahusiano ya kikazi na kirafiki kwa muda mrefu. Katika kufanya maamuzi magumu ile timu ya Makamba haitakuwa na uwezo kwa sababu za mahusiano hayo
 
Ndugu zangu Watanzania penye ukweli lazima tuseme hii Nchi ni yetu sote si ya watu fulani tu na siyo kwamba wengine wamekuwa Watanzania by default!

Nimeona nitoe mtazamo wangu ambao ninao kuhusu huu uteuzi wa January Makamba ktk Bodi ya TANESCO.

Kwanza Watanzania tukumbuke kuwa Wizara ya Nishati ndiyo imekuwa "Cash Cow" ya wapigaji/mafisadi kwa miongo kama miwili hivi!

Skendo zote kubwa kama Richmond,Dowans,Escrow n.k ni hapa.

Hata Rais Samia nadhani "ameshauriwa" vibaya sana kumtoa aliyekuwa DG wa TANESCO Dr.Tito Mwinuka na kumuweka Maharage Chande!

Rais Samia na January Makamba muda wote watambue kuwa suala la Umeme kwa Watanzania ni nyeti sana na si sawa na usambazaji wa visimbuzi vya Multichoice alivyokuwa akifanya Maharage Chande!

January Makamba amesukumwa zaidi na urafiki na "malengo yake ya baadaye" katika uteuzi huu!

Nehemiah Mchechu alipata tuhuma kubwa sana (tena toka kwa Rais Magufuli) kwa kujipa tenda za NHC) kupitia kampuni zake akiwa yeye DG pale! Amejisafisha lini na wapi?!

Balozi Maajar, huyu mama ndo aliwakilisha(kupitia kampuni yao Rex Attorneys) "wapigaji" wa TANESCO katika kesi za kimataifa!

January umeweka kwenye Bodi wafanyabiashara wakubwa ambao hawawezi kuwa think tank wa Nishati kwa Taifa hili!

TANESCO sasa inaongozwa na "Watuhumiwa" kuanzia Waziri January Makamba hadi wajumbe wa Bodi.

Hapa sio siri January Makamba umeonyesha uwezo mdogo wa uongozi unaofichwa na ambao wengi hawataki kuusikia!

January Makamba tunakutaka utengue mara moja hii Bodi yako ya hovyo na uunde Bodi madhubuti kwa maslahi ya Taifa hili na si kwa maslahi yenu wachache na "wapigaji" wenu!

Pia mshauri Rais Samia atafute DG anayeweza kum_ replace Dr.Tito Mwinuka kama issue ilikuwa ni kumtoa pale.
Vinginevyo January Makamba JIUZULU kwani hii Nchi ni ya Wananchi wote na si ya Viongozi pekee!

Na kama hii ndiyo strategy yako kwa "malengo ya baadaye" utafeli " big time"!
Dr Tito si mwanamtandao. Awamu pevu hii na kazi iendelee
 
Mbwa mzee hafundishwi mbinu mpya za kuwinda, board members hawa hawa na CV za kuwafanya waongoze shirika mhimu kubwa na lenye skendo kama hilo
 
Back
Top Bottom