Mama ameingizwaje mjini kwani hawajui hao watu au hasomi kama amesini upupu hilo ni lake
.....Mungu peke yake.Hasira za nini upo kwenye payroll ya Makamba..
Mtoa hoja anaongelea Tanesco ya watanzania wote, Chato hawaruhusiwi kuiongelea Tanesco…kila mtu anaeona ukakasi kwenye teuzi anatoka Chato..hii ndio cheap politics unayohubiri hapa…
Ushahidi wa nini unaotaka wewe Maajar hujui km aliwakilisha Dowans…mtu akishapoteza trust kwa anawaongoza anakaa pembeni huo ndio uongozi, wapo wengi wenye uwezo kwani huko Tanesco hakuna madirector wanaoweza kupandishwa vyeo wakawa maDG…watu bungeni wameisha wanaoweza kuongoza hio wizara…
Jibu kwa hoja sio matusi maana naona mtoa hoja kagusa mshono…yote haya tunafanya kwa ajili ya Tanzania yetu…hata Makamba akitoka bado utafaidika tu..anaetoa riziki ni mmoja..
danga la mama ako liko sukuma gang nn.hakukua na kelele kwa sababu vyombo vya habari na democrasia viliminywa.sasa watu mpo huru ndo maana ukishiba ugali wa shemeji ako unakuja kuropoka humuKatika miaka yake mitano umesikia kelele yoyote tanesco? Au nyie ndo wale mnaoheshimu madanga ya wake zenu?
Hao wajumbe wa Bodi kashauriwa na Vasco Da Gama, wote ni maswahiba wa huyo Mzee aliyependa kuzurura Duniani kama mshamba wa wapi sijui.Ndugu zangu Watanzania penye ukweli lazima tuseme hii Nchi ni yetu sote si ya watu fulani tu na siyo kwamba wengine wamekuwa Watanzania by default!
Nimeona nitoe mtazamo wangu ambao ninao kuhusu huu uteuzi wa January Makamba ktk Bodi ya TANESCO.
Kwanza Watanzania tukumbuke kuwa Wizara ya Nishati ndiyo imekuwa "Cash Cow" ya wapigaji/mafisadi kwa miongo kama miwili hivi!
Skendo zote kubwa kama Richmond,Dowans,Escrow n.k ni hapa.
Hata Rais Samia nadhani "ameshauriwa" vibaya sana kumtoa aliyekuwa DG wa TANESCO Dr.Tito Mwinuka na kumuweka Maharage Chande!
Rais Samia na January Makamba muda wote watambue kuwa suala la Umeme kwa Watanzania ni nyeti sana na si sawa na usambazaji wa visimbuzi vya Multichoice alivyokuwa akifanya Maharage Chande!
January Makamba amesukumwa zaidi na urafiki na "malengo yake ya baadaye" katika uteuzi huu!
Nehemiah Mchechu alipata tuhuma kubwa sana (tena toka kwa Rais Magufuli) kwa kujipa tenda za NHC) kupitia kampuni zake akiwa yeye DG pale! Amejisafisha lini na wapi?!
Balozi Maajar, huyu mama ndo aliwakilisha(kupitia kampuni yao Rex Attorneys) "wapigaji" wa TANESCO katika kesi za kimataifa!
January umeweka kwenye Bodi wafanyabiashara wakubwa ambao hawawezi kuwa think tank wa Nishati kwa Taifa hili!
TANESCO sasa inaongozwa na "Watuhumiwa" kuanzia Waziri January Makamba hadi wajumbe wa Bodi.
Hapa sio siri January Makamba umeonyesha uwezo mdogo wa uongozi unaofichwa na ambao wengi hawataki kuusikia!
January Makamba tunakutaka utengue mara moja hii Bodi yako ya hovyo na uunde Bodi madhubuti kwa maslahi ya Taifa hili na si kwa maslahi yenu wachache na "wapigaji" wenu!
Pia mshauri Rais Samia atafute DG anayeweza kum_ replace Dr.Tito Mwinuka kama issue ilikuwa ni kumtoa pale.
Vinginevyo January Makamba JIUZULU kwani hii Nchi ni ya Wananchi wote na si ya Viongozi pekee!
Na kama hii ndiyo strategy yako kwa "malengo ya baadaye" utafeli " big time"!
Kwani anaiteua peke yake? Yawezekana anashauriana na wengine au yeye anakuwa mtangazaji tu!Hili la Bodi ya tanesco litampiga chini Makamba, mm nishaona mapema, hii ni image mbaya kwa Januari sana
Acha WIVU wa kike. JANUARY MAKAMBA SONGA MBELE!
Lete nyaraka kuonesha aliwakilisha Tanesco!Hasira za nini upo kwenye payroll ya Makamba..
Mtoa hoja anaongelea Tanesco ya watanzania wote, Chato hawaruhusiwi kuiongelea Tanesco…kila mtu anaeona ukakasi kwenye teuzi anatoka Chato..hii ndio cheap politics unayohubiri hapa…
Ushahidi wa nini unaotaka wewe Maajar hujui km aliwakilisha Dowans…mtu akishapoteza trust kwa anawaongoza anakaa pembeni huo ndio uongozi, wapo wengi wenye uwezo kwani huko Tanesco hakuna madirector wanaoweza kupandishwa vyeo wakawa maDG…watu bungeni wameisha wanaoweza kuongoza hio wizara…
Jibu kwa hoja sio matusi maana naona mtoa hoja kagusa mshono…yote haya tunafanya kwa ajili ya Tanzania yetu…hata Makamba akitoka bado utafaidika tu..anaetoa riziki ni mmoja..
Heeh yeye mwenyewe tu January aliwahi kusema huyo mama hafai na akamshangaa JK ilikuwaje akamteua balozi ikiwa aliisaidia kuiibia TanescoLete nyaraka kuonesha aliwakilisha Tanesco!
Mnatunga mambo yenu hapa alafu mnajifanya wajuaji kumbe wajinga tu
HAHAHAHAAAA MTAMISI 10PERC ZA DCNdugu zangu Watanzania penye ukweli lazima tuseme hii Nchi ni yetu sote si ya watu fulani tu na siyo kwamba wengine wamekuwa Watanzania by default!
Nimeona nitoe mtazamo wangu ambao ninao kuhusu huu uteuzi wa January Makamba ktk Bodi ya TANESCO.
Kwanza Watanzania tukumbuke kuwa Wizara ya Nishati ndiyo imekuwa "Cash Cow" ya wapigaji/mafisadi kwa miongo kama miwili hivi!
Skendo zote kubwa kama Richmond,Dowans,Escrow n.k ni hapa.
Hata Rais Samia nadhani "ameshauriwa" vibaya sana kumtoa aliyekuwa DG wa TANESCO Dr.Tito Mwinuka na kumuweka Maharage Chande!
Rais Samia na January Makamba muda wote watambue kuwa suala la Umeme kwa Watanzania ni nyeti sana na si sawa na usambazaji wa visimbuzi vya Multichoice alivyokuwa akifanya Maharage Chande!
January Makamba amesukumwa zaidi na urafiki na "malengo yake ya baadaye" katika uteuzi huu!
Nehemiah Mchechu alipata tuhuma kubwa sana (tena toka kwa Rais Magufuli) kwa kujipa tenda za NHC) kupitia kampuni zake akiwa yeye DG pale! Amejisafisha lini na wapi?!
Balozi Maajar, huyu mama ndo aliwakilisha(kupitia kampuni yao Rex Attorneys) "wapigaji" wa TANESCO katika kesi za kimataifa!
January umeweka kwenye Bodi wafanyabiashara wakubwa ambao hawawezi kuwa think tank wa Nishati kwa Taifa hili!
TANESCO sasa inaongozwa na "Watuhumiwa" kuanzia Waziri January Makamba hadi wajumbe wa Bodi.
Hapa sio siri January Makamba umeonyesha uwezo mdogo wa uongozi unaofichwa na ambao wengi hawataki kuusikia!
January Makamba tunakutaka utengue mara moja hii Bodi yako ya hovyo na uunde Bodi madhubuti kwa maslahi ya Taifa hili na si kwa maslahi yenu wachache na "wapigaji" wenu!
Pia mshauri Rais Samia atafute DG anayeweza kum_ replace Dr.Tito Mwinuka kama issue ilikuwa ni kumtoa pale.
Vinginevyo January Makamba JIUZULU kwani hii Nchi ni ya Wananchi wote na si ya Viongozi pekee!
Na kama hii ndiyo strategy yako kwa "malengo ya baadaye" utafeli " big time"!
mwelezee huyu boyaKama kuwa na tuhuma tu ndo kigezo cha kujiuzuru Mbona Magufuli alikuwa na tuhuma ya kuuza nyumba za Serikali hadi Kwa hawara yake na akawa Rais na ukamuunga mkono humu??
Chuki zako na uzandiki wako dhidi ya January usiuhalalishe kwa cheap politics!
Kama una ushahidi dhidi ya hao kwa nini hujawai peleka polisi Au pccb ikiwemo kipindi cha mungu wako Magufuli?
Pelekeni ujinga wenu kwenu chato
Kwani ni lini Makamba aliwahi kuwa na uongozi bora?Ndugu zangu Watanzania penye ukweli lazima tuseme hii Nchi ni yetu sote si ya watu fulani tu na siyo kwamba wengine wamekuwa Watanzania by default!
Nimeona nitoe mtazamo wangu ambao ninao kuhusu huu uteuzi wa January Makamba ktk Bodi ya TANESCO.
Kwanza Watanzania tukumbuke kuwa Wizara ya Nishati ndiyo imekuwa "Cash Cow" ya wapigaji/mafisadi kwa miongo kama miwili hivi!
Skendo zote kubwa kama Richmond,Dowans,Escrow n.k ni hapa.
Hata Rais Samia nadhani "ameshauriwa" vibaya sana kumtoa aliyekuwa DG wa TANESCO Dr.Tito Mwinuka na kumuweka Maharage Chande!
Rais Samia na January Makamba muda wote watambue kuwa suala la Umeme kwa Watanzania ni nyeti sana na si sawa na usambazaji wa visimbuzi vya Multichoice alivyokuwa akifanya Maharage Chande!
January Makamba amesukumwa zaidi na urafiki na "malengo yake ya baadaye" katika uteuzi huu!
Nehemiah Mchechu alipata tuhuma kubwa sana (tena toka kwa Rais Magufuli) kwa kujipa tenda za NHC) kupitia kampuni zake akiwa yeye DG pale! Amejisafisha lini na wapi?!
Balozi Maajar, huyu mama ndo aliwakilisha(kupitia kampuni yao Rex Attorneys) "wapigaji" wa TANESCO katika kesi za kimataifa!
January umeweka kwenye Bodi wafanyabiashara wakubwa ambao hawawezi kuwa think tank wa Nishati kwa Taifa hili!
TANESCO sasa inaongozwa na "Watuhumiwa" kuanzia Waziri January Makamba hadi wajumbe wa Bodi.
Hapa sio siri January Makamba umeonyesha uwezo mdogo wa uongozi unaofichwa na ambao wengi hawataki kuusikia!
January Makamba tunakutaka utengue mara moja hii Bodi yako ya hovyo na uunde Bodi madhubuti kwa maslahi ya Taifa hili na si kwa maslahi yenu wachache na "wapigaji" wenu!
Pia mshauri Rais Samia atafute DG anayeweza kum_ replace Dr.Tito Mwinuka kama issue ilikuwa ni kumtoa pale.
Vinginevyo January Makamba JIUZULU kwani hii Nchi ni ya Wananchi wote na si ya Viongozi pekee!
Na kama hii ndiyo strategy yako kwa "malengo ya baadaye" utafeli " big time"!
Kumpa muda mzembe ni kuzidi kujitafutia majanga.Mkuu kwani hatuez kuwapa mda tukaona results
Ccm ni kichaka cha weziWeka ushahidi wa upigaji wao au Wizi wao hapa
agreedNdugu zangu Watanzania penye ukweli lazima tuseme hii Nchi ni yetu sote si ya watu fulani tu na siyo kwamba wengine wamekuwa Watanzania by default!
Nimeona nitoe mtazamo wangu ambao ninao kuhusu huu uteuzi wa January Makamba ktk Bodi ya TANESCO.
Kwanza Watanzania tukumbuke kuwa Wizara ya Nishati ndiyo imekuwa "Cash Cow" ya wapigaji/mafisadi kwa miongo kama miwili hivi!
Skendo zote kubwa kama Richmond,Dowans,Escrow n.k ni hapa.
Hata Rais Samia nadhani "ameshauriwa" vibaya sana kumtoa aliyekuwa DG wa TANESCO Dr.Tito Mwinuka na kumuweka Maharage Chande!
Rais Samia na January Makamba muda wote watambue kuwa suala la Umeme kwa Watanzania ni nyeti sana na si sawa na usambazaji wa visimbuzi vya Multichoice alivyokuwa akifanya Maharage Chande!
January Makamba amesukumwa zaidi na urafiki na "malengo yake ya baadaye" katika uteuzi huu!
Nehemiah Mchechu alipata tuhuma kubwa sana (tena toka kwa Rais Magufuli) kwa kujipa tenda za NHC) kupitia kampuni zake akiwa yeye DG pale! Amejisafisha lini na wapi?!
Balozi Maajar, huyu mama ndo aliwakilisha(kupitia kampuni yao Rex Attorneys) "wapigaji" wa TANESCO katika kesi za kimataifa!
January umeweka kwenye Bodi wafanyabiashara wakubwa ambao hawawezi kuwa think tank wa Nishati kwa Taifa hili!
TANESCO sasa inaongozwa na "Watuhumiwa" kuanzia Waziri January Makamba hadi wajumbe wa Bodi.
Hapa sio siri January Makamba umeonyesha uwezo mdogo wa uongozi unaofichwa na ambao wengi hawataki kuusikia!
January Makamba tunakutaka utengue mara moja hii Bodi yako ya hovyo na uunde Bodi madhubuti kwa maslahi ya Taifa hili na si kwa maslahi yenu wachache na "wapigaji" wenu!
Pia mshauri Rais Samia atafute DG anayeweza kum_ replace Dr.Tito Mwinuka kama issue ilikuwa ni kumtoa pale.
Vinginevyo January Makamba JIUZULU kwani hii Nchi ni ya Wananchi wote na si ya Viongozi pekee!
Na kama hii ndiyo strategy yako kwa "malengo ya baadaye" utafeli " big time"!