January Makamba hili la Uteuzi wa Bodi ya TANESCO limekufunua mapema sana!!!

Kama kuwa na tuhuma tu ndo kigezo cha kujiuzuru Mbona Magufuli alikuwa na tuhuma ya kuuza nyumba za Serikali hadi Kwa hawara yake na akawa Rais na ukamuunga mkono humu?

TWO WRONGS DO NOT MAKE A RIGHT! Kutokuchukuliwa hatua Magufuli hakuzuii kumchukulia hatua January Makamba!!

Mchechu na mwenzie Raymond Mndolwa walikuwa wanachunguzwa na vyombo vya dola na mpaka ikatokea Raymond Mndolwa kukataliwa kuwa mgombea wa ubunge ingawa alishinda kura za Maoni na baba yake kuwa mjumbe wa Kamati kuu ya CCM!! Samia asiruhusu mambo ya namna hii kufanyika kwani yanaleta hisia mbaya juu yake kuwa alikuwa JASUSI ndani ya Serikali ya Magufuli!
 
Huyu kijana Raymoo amepata ukwasi mkubwa sana alipoanza kazi NHC yaani hela nyingi kaipatia hapo. Alipokuwa Dawasco alikuwa mtu wa kawaida tuu. Tanzania kuna maajabu sana.
 

Raymond ni mfanyabiashara mzuri sana. Akiwa Dawasco alikuwa na bar maarifu sana pale karibu na Kinondoni makaburini. Anaendesha pia bar nyingine hapo Mikocheni, sijui kama bado ipo!
 
Kumbe unamjua ni mfanyabiashara tangu akiwa na Bar Kinondoni halafu unashangaa kumuona ana ukwasi mkubwa akiwa NHC!! Fanya kazi acha majungu
 
Kumbe unamjua ni mfanyabiashara tangu akiwa na Bar Kinondoni halafu unashangaa kumuona ana ukwasi mkubwa akiwa NHC!! Fanya kazi acha majungu
Hapana sio mimi niliandika hivyo kuna makosa ya kiufundi yalifanyika yamerekebishwa!!
 
danga la mama ako liko sukuma gang nn.hakukua na kelele kwa sababu vyombo vya habari na democrasia viliminywa.sasa watu mpo huru ndo maana ukishiba ugali wa shemeji ako unakuja kuropoka humu
Jinga
 
January Makama hana ethics za uongozi kwa hiyo hafai kuwa in any leadership opposition.Aachwe aka-fend for himself mtaani,that is the best option for him.Kuendelea kumbeba ni kulitia taifa letu hasara.Viongozi wetu tunaomba watuelewe.
 
Hata Rais Samia nadhani "ameshauriwa" vibaya sana kumtoa aliyekuwa DG wa TANESCO Dr.Tito Mwinuka na kumuweka Maharage Chande!
Usilolijua ni sawa na usiku wa kiza, chunguza utajua 'motive behind'!
Game limechezwa toka kijijini njia panda ya tanga/moshi/arusha na Mororgoro
 
Mkuu, uchungu ulio nao ni kama nilivyo tu!!

Sielewi ni kwa nini Makamba anakumbatiwa na hizi kashifa zote

Kwa nini January katikati ya taifa lenye wasomi lukuki???

MTU asiye na huruma hata kidogo na wananchi na Taifa?

Unazuia shirika letu kuagiza mafuta unaruhusu wafanya biashara? Sababu za kuzuiliwa kwa uagizaji wa mafuta ni nini?

Unaagiza nguzo za umeme nje, hizi za kwetu zimekosa sifa gani?

Huyu mwenye kiwanda chake kule Bagamoyo aliyekuwa amepewa tenda ya nguzo za zege na Tanesco zimekosa sifa IPI na wakati tanesico wameanza kuzitumia miaka sasa..!

January ni nani?
 
Mbali na Mrema alipokua waziri wa Mambo ya ndani, sijaona waziri mwingine akilaumiwa Kama Makamba dogo.
Kuanzia alipokua fomfoo pale Galanos Tanga Hadi alivyopata ushindi wa bila kupingwa kwenye uchaguzi wa 2020, Hadi utendaji wake katika ofisi yake yasasa.
Mbona Kalemani hakusemwa Kama Makamba? Mbona hata Waitara hakusemwa semwa ukiachia tu tatizo lake la kupenda bia.
 
Niache ni-express hisia zangu mkuu,hii nchi ni yetu sote,kwa nini watu wachache waisambaratishe huku tunaona?It is so painful.
 
Nimerudia kusoma uzi wako na uliyo yatahadharisha yametokea
 
Na kweli Maharage na Makamba WALIFELI
 
Turudi hapa tena kwa Makamba Januari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…