#COVID19 January Makamba: Kauli ya Askofu Gwajima kuhusu chanjo na dhamira ya Serikali haikubaliki

#COVID19 January Makamba: Kauli ya Askofu Gwajima kuhusu chanjo na dhamira ya Serikali haikubaliki

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Ndugu Gwajima ambaye anajiita Daktari (haijulikani ni Daktari wa nini na alisomea wapi), na ambaye mimi sitamuita Askofu , mbunge wa ccm wa jimbo la Kawe, jimbo ambalo rekodi ya kukamatwa kwa lundo la mabegi ya wizi wa kura yaliyolindwa na Lazaro Mambosasa, RPC aliyefurushwa haijavunjwa duniani, amejitokeza kupinga kijima Chanjo ya Corona bila hoja za msingi, sasa ameanza kupingwa na wanaccm wenzake.

Pia soma:
#COVID19 - Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama
#COVID19 - Propaganda za Chanjo ya COVID-19: Askofu Gwajima apuuzwe

Aliyejitokeza kwa sasa bila kuogopa kulogwa ni January Makamba

JanMak.PNG
 
Eti wazungu wanaionea wivu Tanzania!

Dah kuna baadhi ya wabongo wapumbavu sana. Hao wazungu hata kuchamba tu wamekufundisha wao wangetaka kukuua si wangetumia hata hizo pedi na madawa mengine ya misaada wanayotupa?
 
Makamba yuko sahihi, huyu Gwajima ni mpotoshaji na hana uelewa wa mambo ila analazimisha maadam tu ana platform ya kuongelea apuuzwe, akemewe kama alivyofanya JM. Ila najua wachache watamkemea maana wanaogopa reaction yake.
 
Serikali ilikuwa wapi wakati 'anafufua watu'?

Walikuwa wapi wakati anavamia

Viwanja vya Tanganyika packers na kugeuza kanisa?

Walikuwa wapi wakati anaahidi kuwapeleka Marekani wapiga kura wa Kawe?

Walikuwa wapi wakati anatoa kauli za ajabu nyingi kuliko hii ya sasa?

Wanafuga nyoka Hadi aanze kuwang'ata na wao ndo waone hatari?
 
NENDA KACHANJE UFE UKIWA SIO BINADAMU GWAJIMA KATOA PIGO MOJA TU VIBALAKA MNAANZA KUJITOKEZA SHIMONI ACHA INYESHE TUJUE PANAPOVUJA
Kumbe ndio walewakle wapumbavu. Gomeni kupeleka watoto wenu clinik kwenye chanjo, utakuta jitu lina ukimwi linatumia ARV bado linajifanya kuponda chanjo?

Huko hospitalini mnafuata nini una dhani kuna dawa iliyotengenezwa na Mwafrica huko? Mbona hiyo midawa mnakunywa tu hamgomi si muanzishe kampeni mgomee, muendelee kujifunga hirizi na kutegeme ramli
 
Mimi nafikiri tuache watu washuriane katika hili swala.

Gwajima kama gwajima yuko upande wa magufuli kimsimamo,ambao mpaka sasa bado unaongoza kwa vielelezo vinavyoulinda msimamo ule.

Juzi mbowe ameshauri chanjo iwe lazima,hoja hii ikapingwa vikali,sijui makamba anasemaje kuhusu hoja hii.
 
Ndugu Gwajima ambaye anajiita Daktari ( haijulikani ni Daktari wa nini na alisomea wapi ) , na ambaye mimi sitamuita Askofu , mbunge wa ccm wa jimbo la Kawe , jimbo ambalo rekodi ya kukamatwa kwa lundo la mabegi ya wizi wa kura yaliyolindwa na Lazaro Mambosasa , RPC aliyefurushwa haijavunjwa duniani , amejitokeza kupinga kijima Chanjo ya Corona bila hoja za msingi , sasa ameanza kupingwa na wanaccm wenzake.

Pia soma
#COVID19 - Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama
#COVID19 - Propaganda za Chanjo ya COVID-19: Askofu Gwajima apuuzwe

Aliyejitokeza kwa sasa bila kuogopa kulogwa ni January Makamba

View attachment 1868898
Bahati mbaya au nzuri gwajima ana ushawishi kwa raia zaidi ya hao wanaomponda..
 
Ndugu Gwajima ambaye anajiita Daktari ( haijulikani ni Daktari wa nini na alisomea wapi ) , na ambaye mimi sitamuita Askofu , mbunge wa ccm wa jimbo la Kawe , jimbo ambalo rekodi ya kukamatwa kwa lundo la mabegi ya wizi wa kura yaliyolindwa na Lazaro Mambosasa , RPC aliyefurushwa haijavunjwa duniani , amejitokeza kupinga kijima Chanjo ya Corona bila hoja za msingi , sasa ameanza kupingwa na wanaccm wenzake.

Pia soma
#COVID19 - Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama
#COVID19 - Propaganda za Chanjo ya COVID-19: Askofu Gwajima apuuzwe

Aliyejitokeza kwa sasa bila kuogopa kulogwa ni January Makamba

View attachment 1868898
Tuwe wakweli kwenye hili. Polisi au chombo cha dola chenye mamlaka kilipaswa IMMEDIATELY kumkamata na kumhoji huyu FAKE PASTOR Gwajima. Ametoa tuhuma nzito kuhusu watu walioruhusu chanjo ziingie Tanzania kuwa wanahongwa au na Bill Gates au na wazakishaji wa chanjo wa Marekani.

Kwa uelewa wangu aliyeruhusu chanjo zije ni Rais Samia baada ya kushauriwa na timu yake ya wataalamu. Kwa hiyo tuhuma ya Gwajima inamlenga Rais SSH moja kwa moja.

TISS na POLISI kamata huyu Fake Pastor Gwajima
 
Gwajima anamtuhumu Rais kwa kuingiza chanjo zenye madhara nchini akidai kuwa amepokea hela toka kwa watengeneza hizo chanjo,huyu asiachwe hivi hivi aminywe korodani mpaka aseme nani yuko nyuma yake kumchafua Rais.
 
Kama chanjo zingekuwa salama, serikali isingejitenga na madhara yanayoweza kujitokeza. Hii chanjo ni ya Vodafasta. Bado upo kwenye utafiti na ndiyo maana inabidi utoe ridhaa ya kufanyiwa utafiti.
 
Machanjo hata hayajathibitishwa kuhusu madhara yake mnabugia tu.

Na vizuri watu waelimishwe na wasisitizwe wasichanjwe hayo matakataka mpaka pale tutakapopata ithibati ya usalama wake.

Watu wenye akili timamu wote wamemuelewa Gwajima.

Hawa matapeli waliolipwa na mabeberu hawana jipya tofauti na kushadadia machanjo yenye sumu.
 
Wale wa kawe wameshapelekwa Birmingham? Huyu mwamba ana wafuasi wapumbavu sana
 
huyo anateswa na suala la safari za ulaya na marekani. sisi tupo na gwajima.
 
Back
Top Bottom