Sir robby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,396
- 4,080
KASHINDWA KUONGOZA WIZARA MOJA ITAKUWAJE KUZISIMAMIA WIZARA ZOTE?NCHI HII INACHEZEWA SANAWaziri wa Nishati, Januari Makamba ametajwa na gazeti la Raia Mwema kuwa anapigiwa chapuo la kupewa nafasi ya Waziri Mkuu inayoshikiliwa na Kassim Majaliwa.
Kama watanzania tunadhani ni viongozi gani zaidi ya Makamba wanazosifa za kuwa Waziri Mkuu?