Ni nchi, sio inchi, unaonekana una ujinga mwingi sana kichwani.
Halafu kwenye maelezo yangu hamna nilipoandika neno "kigezo", hilo umejitungia mwenyewe, ukajiuliza swali, ukajijibu.
Watu wana taratibu zao, badala ya kuropoka kama chizi, kaa chini tazama kila baada ya mihula miwili ya Rais aliyepo madarakani kwisha, Rais anayefuata huwa wa dini tofauti na yule aliyemaliza muda wake.