Tetesi: January Makamba kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara

Tetesi: January Makamba kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara

Freed Freed

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
6,547
Reaction score
7,167
Habari kutoka ndani ya CCM ni kuwa Familia ya Makamba imemalizana na Rais Samia.

Makubaliano ni kuwa Mama Samia hakutaka Makamba arejeshewe Uwaziri kama walivyotaka.

Baada ya Maongezi ya muda mrefu Mheshimiwa Rais kwa kuiheshimu familia hiyo, ameahidi kufanya mpango kwa kufuata taratibu za chama ili January Makamba awe Makamu mwenyekiti wa Chama bara.

Suala hili litawekwa wazi mapema mwezi February.


MREJESHO: Baada ya CCM kuiona habari hii iliyovuja wameamua kukurupuka na kuwahisha mchakato tarehe 16, 17 na hitimisho ni 19 January. Imethibitika pasipo na shaka kuwa AGREY MWANDRI ndiye atakayekuwa Makamu mwenyekiti bara. Naona Chama kimebadili GIA ANGANI. Lengo kuu kuuzia Mvumo wa Chadema.
 
Habari kutoka ndani ya CCM ni kuwa Familia ya Makamba imemalizana na Rais Samia.
Makubaliano ni kuwa Mama Samia hakutaka Makamba arejeshewe Uwaziri kama walivyotaka.

Baada ya Maongezi ya muda mrefu Mheshimiwa Rais kwa kuiheshimu familia hiyo, ameahidi kufanya mpango kwa kufuata taratibu za chama ili January Makamba awe Makamu mwenyekiti wa Chama bara
Suala hili litawekwa wazi mapema mwezi February.
Pameanza kuchangamka
 
Macho ya waTZ kwa sasa yapo kwa Tundu Lissu✅
20241218_051429.jpg
 
Habari kutoka ndani ya CCM ni kuwa Familia ya Makamba imemalizana na Rais Samia.
Makubaliano ni kuwa Mama Samia hakutaka Makamba arejeshewe Uwaziri kama walivyotaka.

Baada ya Maongezi ya muda mrefu Mheshimiwa Rais kwa kuiheshimu familia hiyo, ameahidi kufanya mpango kwa kufuata taratibu za chama ili January Makamba awe Makamu mwenyekiti wa Chama bara
Suala hili litawekwa wazi mapema mwezi February.
Anaachia ubunge na ndoto za kuwa rais ndo zimezama topeni
 
Habari kutoka ndani ya CCM ni kuwa Familia ya Makamba imemalizana na Rais Samia.
Makubaliano ni kuwa Mama Samia hakutaka Makamba arejeshewe Uwaziri kama walivyotaka.

Baada ya Maongezi ya muda mrefu Mheshimiwa Rais kwa kuiheshimu familia hiyo, ameahidi kufanya mpango kwa kufuata taratibu za chama ili January Makamba awe Makamu mwenyekiti wa Chama bara
Suala hili litawekwa wazi mapema mwezi February.
January ndio Rais wa baadae baada ya Ridhiwani kikwete, hiyo nafasi inamfaa ili kukijenga chama zaidi.... Acha tuwape nchi vijana pia baada ya Samia akimaliza....povu Ruksa.
 
Habari kutoka ndani ya CCM ni kuwa Familia ya Makamba imemalizana na Rais Samia.
Makubaliano ni kuwa Mama Samia hakutaka Makamba arejeshewe Uwaziri kama walivyotaka.

Baada ya Maongezi ya muda mrefu Mheshimiwa Rais kwa kuiheshimu familia hiyo, ameahidi kufanya mpango kwa kufuata taratibu za chama ili January Makamba awe Makamu mwenyekiti wa Chama bara
Suala hili litawekwa wazi mapema mwezi February.
Akimpa hiyo nafasi atakuwa amejichimbia kuburi lake mwenyewe
 
Habari kutoka ndani ya CCM ni kuwa Familia ya Makamba imemalizana na Rais Samia.


Makubaliano ni kuwa Mama Samia hakutaka Makamba arejeshewe Uwaziri kama walivyotaka.

Baada ya Maongezi ya muda mrefu Mheshimiwa Rais kwa kuiheshimu familia hiyo, ameahidi kufanya mpango kwa kufuata taratibu za chama ili January Makamba awe Makamu mwenyekiti wa Chama bara.


Suala hili litawekwa wazi mapema mwezi February.
 

Attachments

  • 5919930-954df270905012ee1220d2072789d42b.mp4
    6.9 MB
Back
Top Bottom